Ismail D
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 252
- 319
Anajuwa mafundofundo yake na kila mahali kamshika...Hahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ni kiwanda ganiHahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe na nani mnao ogopa kutochangia mada humu!!Hata wewe nakushauri awamu hii kaa kimya tu..
Jambo likuume au likufurahishe jifanye hujaona kitu hata mkeo usimwambie..
Tofauti na hivyo Utalimia meno mkuu..
Unadhani kama Manji angekaa kimya siku aliyotajwa kuhusu madawa ya kulevya angekuwa anapata tabu zote hizi..
Zamani watu tulikuwa tunachangia kila mada humu JF kwasasa tunasoma tu na kupita,hata kutoa pole kwenye uzi wa lissu tunashindwa..
Sikuzote maishani mwako muache aliyeshika mpini afanye anachotaka ndiyo maisha..
Tafuta Chakula kwaajili yako na familia yako,Muombe Mungu uendelee kuwa hai Basi,Hayo mengine yaache..
Huyo Mzee ni mwoga anajuwa serikalin alivurunda ana madudu mengi anaogopa rungu LA jpm linaweza kumfikia kama Mr.zeroHahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini hakutumia busara kukaa kimya mara ya kwanza mpaka kuanza kuropoka maneno yasiyotoka moyoni mwake?Nadhan mtoa mada bado hujajua kua, kukaa kimya ni jibu la mjinga.
Angejibu na yeye angekua mjinga so katumia busara yake kunyamaza.
Huwez amin hapo baba jesca kaumia sana kwa kutojibiwa coz anapenda sana ligi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uchocheziHahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe nakushauri awamu hii kaa kimya tu..
Jambo likuume au likufurahishe jifanye hujaona kitu hata mkeo usimwambie..
Tofauti na hivyo Utalimia meno mkuu..
Unadhani kama Manji angekaa kimya siku aliyotajwa kuhusu madawa ya kulevya angekuwa anapata tabu zote hizi..
Zamani watu tulikuwa tunachangia kila mada humu JF kwasasa tunasoma tu na kupita,hata kutoa pole kwenye uzi wa lissu tunashindwa..
Sikuzote maishani mwako muache aliyeshika mpini afanye anachotaka ndiyo maisha..
Tafuta Chakula kwaajili yako na familia yako,Muombe Mungu uendelee kuwa hai Basi,Hayo mengine yaache..
Wale wa bombadier walitoa kauli moja tu...."Ndege yenu haiji mpaka tanzania itulipe".....Magu kimyaaaaa...kwishaaaaa.....Mbona hasemi issue za bombadier?.....inakuja lini?....au ni uchochezi?.....naweza kufuatwa na nissan nyeupe eheee!!..........NDEGE YETU INAKUJA LINI?...Hahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kutueleza nini mkuu kuwa muwazi ili tukuelewe tusije kukuelewa vibaya ikala kwako!!Samwel Doo alijaribu siasa za risasi kule Liberia aliishia kuburuzwa na Landrover mjini kote Monrovia na kunyofolewa viungo kabla hajafa. Hakuna muuaji ambaye amesalimika dunia ya leo. Ukiishi kwa upanga nawe utakufa kwa upanga
Weusi wa SA, USA etc wangekuwa na mitazamo kama ww, mpaka leo bado wangekuwa wanadhalilishwa. Wewe usharidhika na unashangilia hata ukandamizaji wao kwa bk7.Hata wewe nakushauri awamu hii kaa kimya tu..
Jambo likuume au likufurahishe jifanye hujaona kitu hata mkeo usimwambie..
Tofauti na hivyo Utalimia meno mkuu..
Unadhani kama Manji angekaa kimya siku aliyotajwa kuhusu madawa ya kulevya angekuwa anapata tabu zote hizi..
Zamani watu tulikuwa tunachangia kila mada humu JF kwasasa tunasoma tu na kupita,hata kutoa pole kwenye uzi wa lissu tunashindwa..
Sikuzote maishani mwako muache aliyeshika mpini afanye anachotaka ndiyo maisha..
Tafuta Chakula kwaajili yako na familia yako,Muombe Mungu uendelee kuwa hai Basi,Hayo mengine yaache..