Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 437
- 715
Hahahahaha Lowassa tangu aambiwe "...Usinijaribu"... Kawa Bubu.
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi mnakumbuka lowasaa alivyo toa kauli ya kuhusu Mashekhe wa Uamsho, kilicho mpata, Magufuli alisema "Usinijaribu maana moto wangu hauta uweza "
Kwanzia hapo Lowassa kawa Bubu na mafichoni haonekani hadharan wala hatoi kauli tena hahahah angeshatoa tamko kuhusu Lisu kupigwa risasi mpaka sasa hahahha chezea magufuli wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app