appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,825
- 3,092
KAULI IPI NA YA KIONGOZI YUPI
INATISHA TOKA 2000-2013...
1.Kuleni nyasi, ndege ya
Rais lazima inunuliwe(MRAMB
A)
2.Foleni Dar ni ishara ya Maisha
bora
(JK) 3.Acheni wivu wa kike
(MSEKWA)
4.Asiyeweza kulipa nauli ya
kivuko
apige mbizi (MAGUFULI)
5.Baada ya kutumia
Helikopta ya Jeshi Kwenda
nayo Urambo "Mlitaka
nipande punda?"
(KAPUYA)
6.Wabunge wa Dar
wanafikiri Kwa kutumia
makalio
(Didas)
7.Ukitaka kula lazima uliwe
(JK)
8.Mnaniuliza mvua kwani
mim waziri wa mvua
(WASIRA)
9.Kila mwananchi atabeba
msalaba wake
(PINDA)
10.Wanafunzi kupata
mimba ni viherehere vyao
(JK) Haya.... ipi NZITO zaidi?
INATISHA TOKA 2000-2013...
1.Kuleni nyasi, ndege ya
Rais lazima inunuliwe(MRAMB
A)
2.Foleni Dar ni ishara ya Maisha
bora
(JK) 3.Acheni wivu wa kike
(MSEKWA)
4.Asiyeweza kulipa nauli ya
kivuko
apige mbizi (MAGUFULI)
5.Baada ya kutumia
Helikopta ya Jeshi Kwenda
nayo Urambo "Mlitaka
nipande punda?"
(KAPUYA)
6.Wabunge wa Dar
wanafikiri Kwa kutumia
makalio
(Didas)
7.Ukitaka kula lazima uliwe
(JK)
8.Mnaniuliza mvua kwani
mim waziri wa mvua
(WASIRA)
9.Kila mwananchi atabeba
msalaba wake
(PINDA)
10.Wanafunzi kupata
mimba ni viherehere vyao
(JK) Haya.... ipi NZITO zaidi?