Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,101
- 128,716
Wanabodi,
Kuna hoja kuwa kauli huumba. Yaani ukitoa kauli fulani, kauli hiyo inakuwa na nguvu za kuumba, hivyo huko mbele inakuja kukiumba kitu hicho kilichosemwa au kilichozungumzwa.
Hili likitokea, kosa ni la nani kati ya kilichotokea na aliyekiumba kwa kauli?.
Kama ni kweli kauli huwa zinaumba, kuna hii kauli kuwa Tanzania itatawaliwa na dikiteta, na kama rais Magufuli kweli ni dikiteta, then sio kosa lake kuwa dikiteta, kwa sababu huo udikiteta hakujiumbia yeye, bali uliumbwa kwa kauli kuwa tutatawaliwa na rais dikiteta!.
Sikiliza kwa makini clip hii, kisha ujibu maswali yafuatayo
Jee ni kweli Tanzania tuko under dictatorship?,
Kama ni kweli, jee kosa ni la nani?,
Ni la dikiteta aliyepo ambaye hakujiumba, bali aliumbwa, au ni kosa la kauli yenye nguvu, iliyotuumbia huo udikiteta?.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Udikiteta ni Dhana Tuu or ni Real?. "Lets Call A Spade A Spade ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ..
Mwito Kwa Wana JamiiForums Kuhusu Ukosoaji wa Rais Magufuli ..
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Kufuatia hoja hii kuwa kauli huumba, hivyo kuna uwezekano mkubwa, kuwa rais Magufuli sio dikiteta, lakini kufuatia kauli zinazotolewa za kumuita dikiteta na kujirudia rudia, hivyo ndizo zimemuumbia udikiteta, hivyo Watanzania wote, tukibadili kauli zetu badala ya kumuita rais Magufuli ni dikiteta, sasa tumuite ni Malaika Magufuli, ili kauli hizi za malaika, zimuundie umalaika, rais Magufuli ageuke malaika, hivyo kuligeuza taifa letu kuwa ni peponi.
Mnaonaje hili?.
Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Kuna hoja kuwa kauli huumba. Yaani ukitoa kauli fulani, kauli hiyo inakuwa na nguvu za kuumba, hivyo huko mbele inakuja kukiumba kitu hicho kilichosemwa au kilichozungumzwa.
Hili likitokea, kosa ni la nani kati ya kilichotokea na aliyekiumba kwa kauli?.
Kama ni kweli kauli huwa zinaumba, kuna hii kauli kuwa Tanzania itatawaliwa na dikiteta, na kama rais Magufuli kweli ni dikiteta, then sio kosa lake kuwa dikiteta, kwa sababu huo udikiteta hakujiumbia yeye, bali uliumbwa kwa kauli kuwa tutatawaliwa na rais dikiteta!.
Sikiliza kwa makini clip hii, kisha ujibu maswali yafuatayo
Jee ni kweli Tanzania tuko under dictatorship?,
Kama ni kweli, jee kosa ni la nani?,
Ni la dikiteta aliyepo ambaye hakujiumba, bali aliumbwa, au ni kosa la kauli yenye nguvu, iliyotuumbia huo udikiteta?.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Udikiteta ni Dhana Tuu or ni Real?. "Lets Call A Spade A Spade ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ..
Mwito Kwa Wana JamiiForums Kuhusu Ukosoaji wa Rais Magufuli ..
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Kufuatia hoja hii kuwa kauli huumba, hivyo kuna uwezekano mkubwa, kuwa rais Magufuli sio dikiteta, lakini kufuatia kauli zinazotolewa za kumuita dikiteta na kujirudia rudia, hivyo ndizo zimemuumbia udikiteta, hivyo Watanzania wote, tukibadili kauli zetu badala ya kumuita rais Magufuli ni dikiteta, sasa tumuite ni Malaika Magufuli, ili kauli hizi za malaika, zimuundie umalaika, rais Magufuli ageuke malaika, hivyo kuligeuza taifa letu kuwa ni peponi.
Mnaonaje hili?.
Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali