Mkandara.
...
Kusema Kikwete kashindwa si kweli hii ni dhana dhaifu kabisa ,nitakuwa nawe pamoja ukiniambia WATANZANIA tumefeli na kiongozi akiwa Kikwete.
Hii nafikiri ndiyo kauli mbiu sahihi.
Kulaumu watanzania kwa matatizo ya Kikwete, good but not that good kinda spin