Kauli Cheshi za KAKOBE



mkuu, hapo inategemea unazungumzia ukaribu wa namna gani? kuna vipimo vya kitaalamu..umbali ambao kitaalmu na kisheria huruhusiwa kujenga/kuishi hapo kwa umeme huo.

na kabla ya mradi huo ilifanyika tathmini ya athari zake (if any) , serikali na wadau wakajiridhisha kuwa its okay, mradi ukaendelea. tatizo kakobe anadai kuwa huo umeme unge interfere na matangazo yake ya Tv sijui na redio...ambayo huko TCRA wala hawajapokea maombi ya kitu kama hicho

la muhimu ni kwamba maeneo yote ya mikocheni kuna matatizo makubwa ya umeme kuwa mdogo na kazi haziendi huko ila kwa mbinde

na ukichunguza kakobe tangu enzi hizo alikuwa na mattaizo na TANROADS kwa sababu alikuwa/yupo kwen road reserve. kwenye road reserve huruhusiwi makazi ya watu...na ndipo miradi kama hiyo huwa inapita!
 
Kakobe tumeshamzoea wala hatumshangai..Anafikiri mawazo yake binafsi ni mawazo la MUNGU.
 
 
Imani ya mtu ni swala gumu sana kwa m2 mwingine kulielewa!!
But do you know why Kakobe didnt like the poles zipite pale?
Just make your own research and you will just know kwamba serikali imetumia mabavu!!


mkuu Jossey

research imeshafanyika na watu wa BICO. kama kuna upande mwingine hatuujui kama unavoimply hapa, then kindly hebu tuambie kwa nini unadhani Kakobe kaonewa..tena yeye tu pale kwenye kaeneo kake wakati umeme unapita sehemu nyingi tu zinazofanana na hizo?
 
[/QUOTE


But do you know why Kakobe didnt like the poles zipite pale?
[/QUOTE]

Sisi Hatujui tueleze wewe
 



Kama kweli atafanikisha hilo hapo kwenye red,
Bila shaka Kakobe atauziilishia uma kuwa yeye kweli ni mtumishi wa mungu wa ukweli.
 
Huyu ni Mshirikina hana lolote, Ngoja tuone atachotambia. Mi nahisi ataendelea kuumbuka
 
Mkuu, hawawezi kuthubutu! kama anawaambia keni hapo nje wanakaa, hata mvua ikinyesha, au jua likiwaka vipi nyie kaeni tu.....sijaona kichaa cha namna hii.
 

There is more Than the eye can see!!
Kaizer Kakobe amekua na ujasiri wa kusimama. Watanzania wengi ni waoga na hawajui haki yao. Ndio maana amesimama mmoja ambaye ni kakobe.
Hata kama alikua yeye alikua wrong. Its good that ameeleweshwa from those BICO guys. But kulingana na kauli zake ni kwamba hajaridhika na maelezo yao. coz kama measurement zinaonyesha kuwa there is no harm there was no need for him to Curse the project.
Gosh!! am just becoming more confused!!! Sorry Am lacking words
 
Mkuu Unafahamu unachozungumza?

mkuu, ndiyo sababu nikasema niwe neutral ili nipate ukweli maana yanayosemwa yanawasha masikioni. Huwezi hata kujua expert ni nani, mwanasiasa ni nani, na mkuu wa dini ni nani. Wote wamekuwa wataalamu mpaka jamaa wa dini akaamua kudanganya kuhusu TV na radio ambayo hata application hana. Sorry if it offended anyone. Thanks
 

Kama Waumini wake Wataalamu ( Naamini wapo) wangekuwa na Ujasiri wa Kumwelewesha tangu Mwanzo may be angeelewa lakini naamini na wao walikuwa wanakesha Kulinda kitu ambacho hata wao hawakiamini!
 
Watu wamekesha kwa miezi miwili mizima na mwisho wa siku umeme unapita.
Angekuwa na macho ya kiroho, angeona kuwa kamwe huwezi kushindana na serikali.
Kwa jinsi baadhi ya waumini wake wanavyomwamini huyu bwana wako tayari kufanya chochote atakachowaambia au kuwaagiza. Sasa ikitokea siku moja SHETANI akimwingia tusije kushangaa kuona mambo yaliyofanywa na KIBWETERE wa Uganda yakiwatokea waumini wa KAKOBE.
 
Mkuu, hawawezi kuthubutu! kama anawaambia keni hapo nje wanakaa, hata mvua ikinyesha, au jua likiwaka vipi nyie kaeni tu.....sijaona kichaa cha namna hii.

mkuu,"Religion is the opium of people" -Samora Marcel

Si ajabu pengine, yumkini, inawezekana hata wewe kama ungekuwa muumini wa pale, either ungekaa miezi hiyo yote au ungedefend cause kwa nguvu zote.

Mambo ya dini acha kabisa. Ulishawahi kujiuliza kwanini watu wanaua wengine (wanaowaona) in the name of god ambaye wala hawajawahi kumwona?
 

Naamini huko hatuwezi kufika Mkuu!
 

unajua hapa tunasahau kitu kimoja..hoja ya kusimama kutetea 'haki' basi hiyo haki iwepo! Kakobe pale hajaweza kuprove kwamba ana HAKI...ina maana yeye ndo alikuwa anatudanganya na mikutano yake na waandishi akibase kwenye vipimo vyake..sasa vipimo halisi vimemwumbua...!

kwa hiyo ni kwamba alijifanya kichwa ngumu tu, na huenda alitaka atumie hii kujipatia umaarufu kwa 'kuishinda ' serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…