Hivi mimi huwa najiuliza watu wanaosimamia elimu hapa Tz wamelala usingizi au vipi? sijui wanaitwa nani vile, hawa jamaa hawajui thamani ya elimu hata kidogo. Mtu kama Kikwete hastahili kuitwa DK. sehemu yoyote hapa duniani kwani hana degree tatu au degree yoyote ya dawa za binadamu au wanyama.
Pumbafu sana hawa jamaa, nimewasahau....