kwa kweli hapo kuna ubuyu wa lulu kuachwa na majizoo au dogo janja kuibiwa power window na taa za gari ,kwa kweli mheshimiwa hicho ni kipindi bora kabisa cha tv hamna cha wanawake live,sijui kazi sijui kile cha kilimo hicho ndo chenyewe mheshimiwa
Nawaaaaaona nawaaaonaaaaaa,mnakula tu ubuuuuuyuuuuu, mnanyapianyapia magari ya bashite ana yo blackmail mapapa ya ungaaaaa,nawaaaaaooonaaaaaaaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.