Katuni ya Rais Magufuli by Gado

Katuni ya Rais Magufuli by Gado

Cicero

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2016
Posts
2,924
Reaction score
3,075
June.05.16.Magufuli.Fighting.Corruption.jpg
 
haliwezi kufungiwa. ni ulimwenguni kote a kina vipanya wapo!! cartoons zipo. duhh ameshondwa majama ya sukari!! naoina kimyaaaa- bei elekezi 2,200. mwisho itafikia 3,000. tulieni muone!!
 
haliwezi kufungiwa. ni ulimwenguni kote a kina vipanya wapo!! cartoons zipo. duhh ameshondwa majama ya sukari!! naoina kimyaaaa- bei elekezi 2,200. mwisho itafikia 3,000. tulieni muone!!
huyu jamaa ni anaitwa Gado (jina la kazi) alikuwa anafanya kazi nation media group kuna wakati alichora katuni kwenye gazeti la east Africa likimuonyesha mh raisi wa awamu ya nne akiwa amezungukwa na mabinti ambao hawakuvaa kimaadili gazeti hilo lilifungiwa hapa Tanzania na mwaka huu jamaa alifukuzwa kazi katika ofisi ya nation media kule Kenya kwa sasa anafanya kazi dw...habari ndiyo hiyo
 
huyu jamaa ni anaitwa Gao (jina la kazi) alikuwa anafanya kazi standard group kuna wakati alichora katuni kwenye gazeti la east Africa likimuonyesha mh raisi wa awamu ya nne akiwa amezungukwa na mabinti ambao hawakuvaa kimaadili gazeti hilo lilifungiwa hapa Tanzania na mwaka huu jamaa alifukuzwa kazi katika ofisi ya standard media kule Kenya kwa sasa anafanya kazi dw...habari ndiyo hiyo
ndiyo shida ya miafirka!! twapenda sifa na si kukosolewa. na ndio maana leo hakuna social critque hakuna cortoon wala wasomi tumabakia kutoa misifa!!!! ili tupendwe!1 khaaaaa!!!!
 
hahahaaaa naona jamaa anatoka nduki na panya mpaka kiatu kimechomoka
 
Back
Top Bottom