Katuni ya leo; je inakufundisha kitu gani muhimu?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
KATUNI YA LEO.jpg
 
Huyo mtoto ana bahati kuu! Sisi hakuna wa kutuokoa, twaafa!
Hahaha mkuuu umekosea kuicheki well. Hapo kuna maana mingi sana.

1.Adui yako, anaweza geuka msaada na kukuokoa.

2. Si kila naekupa msaada anafanya kwa wema, wengine watakulisha unawili ili uwape mavuno ya kutosha.

Pata picha , kuku anaechinjwa home ni yule dhaifu aliyekonda au aliye nona.

Mgonjwa akiachwa, au akipewa dawa si kwamba anapendwa bali watu wana buy sometime afikie viwango vya kumla vzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom