Katuni ya Kipanya kwa CHADEMA!

Katuni ya Kipanya kwa CHADEMA!

Hakuna cha kujifunza na Masoud naye ni msaliti, mhaini, anatumiwa na CCM na pia ni mtu ZZK na usalama wa taifa ( Kwa sauti Tundu Lissu akiwa amesahau dawa zake za ukichaa)

Umenichekesha...!!

Sijui kwanini nimeanza kuwa na mashaka na kichwa cha Tindu Lissu katika siku za karibuni.
 
Masoud Kipanya ni Cartoonist na Kazi Ya Cartoonist ni Kutoa Maoni, Kupongeza, Kusifia na Kukosoa na Kama Ulisoma Interpretative Reporting Utanielewa na Anachokifanya Masoud Kipanya ni Kitu Kiitwacho Pictorial Editorial na Yupo Very Professional. Mbona Siku Zingine Anapokuwa Anasifia Ya Upinzani Huwa Hamsemi? Katika Watu Ninaowakubali basi Masoud Kipanya ni Mmoja Wapo na Nampenda Sana huyu Jamaa tokea Alipokuwa Clouds Fm na Hadi Alipohamia Times Fm Jamaa Amekuwa Juu na Ana Uwezo Mkubwa Mno Wa Kufikiri na Kujenga Hoja na Kuitetea. To Me He is My Mentor na Bahati Nzuri Tupo ktk Same Profession.

Huwa natamani siku nipate japo wasaa kidogo tu nimhoji mawili matatu, jamaa ni very creative na talented and he knows that!
 
Kipanya ana ubongo wa panya na anafikiri kipanya panya.
 
Tatizo kubwa lililopo hapo kwa chama fulani ni kwamba ngoma inavuka, tatizo ndiyo hapo tu
 
Masoud Kipanya ni Cartoonist na Kazi Ya Cartoonist ni Kutoa Maoni, Kupongeza, Kusifia na Kukosoa na Kama Ulisoma Interpretative Reporting Utanielewa na Anachokifanya Masoud Kipanya ni Kitu Kiitwacho Pictorial Editorial na Yupo Very Professional. Mbona Siku Zingine Anapokuwa Anasifia Ya Upinzani Huwa Hamsemi? Katika Watu Ninaowakubali basi Masoud Kipanya ni Mmoja Wapo na Nampenda Sana huyu Jamaa tokea Alipokuwa Clouds Fm na Hadi Alipohamia Times Fm Jamaa Amekuwa Juu na Ana Uwezo Mkubwa Mno Wa Kufikiri na Kujenga Hoja na Kuitetea. To Me He is My Mentor na Bahati Nzuri Tupo ktk Same Profession.

namkubali kp kuanzia content mpaka packaging.
 
kuvuka mbona simpo tu, wanaacha gari hapo wanavuka kwa mguu. gari nini bana!!
 
kutoka kwa kingkinya
attachment.php
 
tukumbushane hii jamani.
 
Hahahahaaaaa kweli mwenyekiti Gangwe, huwezi amini tumevuka salama
 
Mbowe alivyokikumbtia kiti....,atafanya lolote awezalo kisimponyoke.
 
Kumbe kipaya alilena mbowe katika kipindi hiki?
 
Mbona hajamchota John Cheyo Mrema Lipumba Mbatia Makaidi na wengineo kwenye chaguzi zao?
Masoud you can't compete with 1409477369624.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom