Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 763
Hakuna cha kujifunza na Masoud naye ni msaliti, mhaini, anatumiwa na CCM na pia ni mtu ZZK na usalama wa taifa ( Kwa sauti Tundu Lissu akiwa amesahau dawa zake za ukichaa)
Umenichekesha...!!
Sijui kwanini nimeanza kuwa na mashaka na kichwa cha Tindu Lissu katika siku za karibuni.