Wana JF katuni hii ilitolewa na mchoraji Masoud Kipanya wakati wa mgomo uliopita wa madaktari, lakini sasa ni wakati muafaka wa kuendelea kutafakari ujumbe uliobebwa na katuni hii.
Bil.7 hizo lazima ziishe kabla ya budget ijayo. Mtu aumwi ili mradi kapangiwa kuwa atatibiwa ng`ambo anaamua kwenda kula bata huku wakiacha migogoro isiyoisha kwa ajili ya ubinafsi uliozidi kimo.
Halafu kuna wajinga wachache wanawalaumu madaktari.Hivi huwa siishi kuwaza watanzania tutaelimika lini?
Ujinga wa kudhani kila siku serikali iko sahihi utaisha lini?
Hivi mnajua kuchoka mie nimechoka mpaka ubongo maana sijui namna ya kusaidia watanzania hawa. iwish tungepata MaDr.Ulimboka kumi kila mkoa.
Wana JF katuni hii ilitolewa na mchoraji Masoud Kipanya wakati wa mgomo uliopita wa madaktari, lakini sasa ni wakati muafaka wa kuendelea kutafakari ujumbe uliobebwa na katuni hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.