Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,559
- 7,917
Kuna machawa halaf kuna Yanga🚮🚮🚮🚮
Na GenZ wa Kenya washawapiga stop pia, hawatakiwi kuleHatutaki show zao wala kazi zao wakale ccm sasa......
Yanga na Simba wote ni chawa japo Yanga wamezidi, kuna timu hata moja kati ya hizo iliyotoa pole kwa waliuawa na Samia? Wote hao waliouawa ni mashabiki wa timu hizo mbili.Kuna machawa na kuna Yanga🚮🚮🚮🚮
Nina furaha sana kwa hilo ila tuliwaonya sanaas wasiingie kampeni za wanasiiasaaNa GenZ wa Kenya washawapiga stop pia, hawatakiwi kule