Katuni hii inakupa picha gani ?

Dw si mabeberu hawana lengo zuri na sisi kamwe
 
majambazi yakigombania kuiba tena
wewe umewahi kuona? tuwekee ushahidi mkuu
Anamacho lakini haoni anamasikio lakini hasikii, yani sio tu ni wale wa kusoma na kuandika tu, kichwani zero mtu atoe rushwa alafu watu wakiongea utasikia sijui mabeberu hawa hawana nia nzuri na sisi, sasa huyu aliyekupa rushwa ya baiskeli sijui kanga na elfu kumi na hao wazungu yupi hana nia nzuri na sisi ?
 
nasubiri ushahidi..acha porojo mkuu walk the walk!
 
Yaani pamoja na kwamba CCM ndiyo Chama kikubwa na kinamilki Dola bado kinatoa rushwa!
CCM na Rushwa ni sawa na Chapati na Kikaango.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…