tulishasema hapa kuwa mwanamke hasomeshwi...lakini pia mkuu naamini hili siyo swala lakuomba ushauri hata kidogo,maana kwa hekima zote hata zakuumba dunia ni kuwa HAKUNA kurudi nyuma,kugeuka nyuma nikuwa jiwe la chumvi...kaliwa watsap na kama haitoshi wazazi wake nao wamemsaidia wakuumize,sioni sababu ya wewe kurudi zaidi unaharakisha kifo chako kwa mawazo...huyo tabia zake zipo ndani ya damu yake maana hata wazazi wake ni mashahidi
Huyo hajagundua kosa ila amegundua kuwa alipoteza almasi kwa mng'ao wa chupa,yeye na wazazi wake...kajifunza basi asubiri mwanaume mwingine aje ila siyo wewe....