Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,256
- 3,892
Baada ya vita vya pili kumalizika ukweli ni kwamba genius wengi kutoka ujerumani walichukuliwa na marekani , urusi pamoja na uingereza baada ya ujerumani kuionyesha dunia nguvu yao kijeshi na kitekilonojia sasa hebu leo hebu tujikumbushe ugundunzi uliofanywa na wajerumani
1.kombola la v2 rockets hili ndo kombola la kwanza la masefa marefu wazungu wenyewe wanaita first ballistic lililoweza kupiga miji mikubwa dunia kama new york,london,moscow,france etc hali iliopelekea adoph hilter kuisimamisha dunia siku 90
2.The me 262 hii ndo ilikuwa ndege ya kwanza ya kivita kutengenezwa wazungu wanaita first firt jet figher ambayo ilikuwa haionekani kwenye radar
3The stg 44 this was first assault missle hii ilikuwa ndo silaha ya kwanza ya maangamizi ktk dunia ambayo silaha hii ilikuwa uwezo mkubwa kuliko m16 ya uingereza
4.The type xxx jet water predetor hii ndo ilikuwa sub marine ya kwanza dunia yenye uwezo kusafiri umbali mrefu
5.The v1 bomb flying missle hii ilikuwa lile balistic missle ya kwanza ambayo ilikuwa inagawanyika mara tatu na kufanya mashambulizi
6The flitz x guided bomb was first under ground bomb invested by nazi german hiii ilikuwa bomu la chini kwa chini ambalo lilipiga liliuwa watu wengi zaidi mji kiev wakati majeshi ya hilter yaiikaribia urusi kuishambilia
7.The tiger two and tiger one tank hivi ndo vilikuwa vifaru vya kwanza vilikuwa havionekani radar
kutengeneza
8.The hot net bomb hiii ilikuwa ilitumika ku detroy military camps
9.atomic bomb technology hii ndo ilikuwa utalaamu jinsi ya kutengeneza kombola la atomic ambayo robert oppenher alijifunza ujerumani kisha akaitumia technology hioo usa kuwasaidia kutengeneza kombola la atomic lillopiga miji ya hiroshima nagasaki ........
Mwisho kabisa baada ya vita wataalamu wote kutoka ujerumani walichukuliwa na marekani kupitia operesheni ya siri paper clip
1.kombola la v2 rockets hili ndo kombola la kwanza la masefa marefu wazungu wenyewe wanaita first ballistic lililoweza kupiga miji mikubwa dunia kama new york,london,moscow,france etc hali iliopelekea adoph hilter kuisimamisha dunia siku 90
2.The me 262 hii ndo ilikuwa ndege ya kwanza ya kivita kutengenezwa wazungu wanaita first firt jet figher ambayo ilikuwa haionekani kwenye radar
3The stg 44 this was first assault missle hii ilikuwa ndo silaha ya kwanza ya maangamizi ktk dunia ambayo silaha hii ilikuwa uwezo mkubwa kuliko m16 ya uingereza
4.The type xxx jet water predetor hii ndo ilikuwa sub marine ya kwanza dunia yenye uwezo kusafiri umbali mrefu
5.The v1 bomb flying missle hii ilikuwa lile balistic missle ya kwanza ambayo ilikuwa inagawanyika mara tatu na kufanya mashambulizi
6The flitz x guided bomb was first under ground bomb invested by nazi german hiii ilikuwa bomu la chini kwa chini ambalo lilipiga liliuwa watu wengi zaidi mji kiev wakati majeshi ya hilter yaiikaribia urusi kuishambilia
7.The tiger two and tiger one tank hivi ndo vilikuwa vifaru vya kwanza vilikuwa havionekani radar
kutengeneza
8.The hot net bomb hiii ilikuwa ilitumika ku detroy military camps
9.atomic bomb technology hii ndo ilikuwa utalaamu jinsi ya kutengeneza kombola la atomic ambayo robert oppenher alijifunza ujerumani kisha akaitumia technology hioo usa kuwasaidia kutengeneza kombola la atomic lillopiga miji ya hiroshima nagasaki ........
Mwisho kabisa baada ya vita wataalamu wote kutoka ujerumani walichukuliwa na marekani kupitia operesheni ya siri paper clip