Hakika ZITTO ni MZITO
Kufanikisha hili suala unatakiwa kuwa very influential, na ukubalike na pande zote pia, sifa ambazo Zitto anazo. Tatizo kuna baadhi ya watu hawamweli huyu jamaaHakika ZITTO ni MZITO
Si uongo ndugu, hata mimi hii imeniacha hoi.Nilidhani Mrema angekuwa msaliti,kweli mdhaniaye siye.
Mrema ana njaa Kali sana kaona Noma tuuNilidhani Mrema angekuwa msaliti,kweli mdhaniaye siye.