Katika mapenzi hiki ndicho kinachouma!

Katika mapenzi hiki ndicho kinachouma!

inabidi kujipanga vizur mnapoachana upambane kiukweli kweli sio unajisusa susa utakuja kumkimbia x wako
 
Kukutana na yule uliyemuacha kwa mbwembwe nyingi akiwa anameremeta "ameshine" mara elfu zaidi ya ulivyokuwa nae(Yaani wewe ni kama ulikuwa unamzeesha tu) Halafu wewe umefwafwanzika!
Yamemenikuta
Omba yasikukute!
Kufwafwanzika- ndo kupi Kamanda?
 
tatizo mapenzi ya watu wengi huwa yanaanza na kutakana (kubadilishana vikojoleo vyao) hawaanzi urafiki kwanza matokeo yake wakimwagana kila kitu kinasambaratika! inatakiwa uanze urafiki kwanza kisha ngono ikitokea tu! hili likienda kwa stahili hii hata mkiachana mnaweza kurudia urafiki wenu.
 
Pole sana mkuu!

Mimi huyu Dada niliyomuacha k wa mbwembwe nyingi nimekutana naye Jana nilitamani kama ardhi ipasuke nitumbukie maana ilikuwa ni aibu na machungu.
Maumivu yake balaa ila ndio hivyo unajifunza..Unapotezea yanaisha
 
Kukutana na yule uliyemuacha kwa mbwembwe nyingi akiwa anameremeta "ameshine" mara elfu zaidi ya ulivyokuwa nae(Yaani wewe ni kama ulikuwa unamzeesha tu) Halafu wewe umefwafwanzika!
Yamemenikuta
Omba yasikukute!
 

Attachments

  • FB_IMG_1497603697353.jpg
    FB_IMG_1497603697353.jpg
    36.6 KB · Views: 38
kama tuko njia moja...huwa nageuza narudi nilikotoka kwa aibu
 
Back
Top Bottom