Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,399
- 40,296
- Thread starter
- #61
Itabidi niwe tbs kujua yaliyomo yamoaka mamaa ya ma crush ehehehehee.
Aaabeeehhh, umeniita...
Itabidi niwe tbs kujua yaliyomo yamoaka mamaa ya ma crush ehehehehee.
Aaabeeehhh, umeniita...
Itabidi niwe tbs kujua yaliyomo yamo
Na hao waliotolewa bikra wako form one and twoWanaumia mi naona sio wote wengi wanaangalia maslah ila wanaoumia san ni wale waliotolewa bikra den wanapigwa chini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani wewe ili uwe mwanaume rijali lazima unyenyekewe sijui ufanyiwe hivi mhhh. Hujui purpose yako hapa duniani. Don't expect anything from anyone expectation hurt.Thamani ya mwanamke ni tabia zake katika huo uhusiano na probably kind of thinking.
Mwanamke akiwa mpuuz na anaendeshwa na tamaa ataendelea kuwa chombo cha starehe kwa kila mwanaume atakayekuwa nae katika mahusiano.
TIP: Mwanamke anatakiwa kuishi na mume kwa hekima na awe msaidizi kwa mwanaume wake. Usaidizi sio wa kutafuna hela tu bali wa kutoa mawazo chanya ya kuzalisha maendeleo zaidi. Ishu ya sex sio swala la kuelezea sana ila ni kitu kipo naturally, wahenga walishasema mficha uchi hazai !!!
Kwa upande wa ndoa ni yupi mwenye nafasi kubwa ya kufanikisha?Wanaume huumia aisee mwanamke akipata mkunaji na mubembelezaji unasahaulika. I think wanaume huwa mnashindwa kutuelewa wanawake na vipaumbele vyetu
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha siwezi kupofuka, medali zote za ushindi ninazoAahahahahaha utapofuka machoo, shauri yako eehehehee.
ha ha ha ha siwezi kupofuka, medali zote za ushindi ninazo
ha ha ha njoo uchukue....Looh wee sikiwezi...
Umeshinda baba
Ila nnapenda medali, haswa kuvishwa jamanii. Yaani ukiniambia njoo nyumbani uchukue medali,nakuja mbioo hata sijiulizi marambili wala siwazi nauli ni shing' ngapi...
Kufanikisha sio tija wanaume wameshikiwa akili tu na wanawake sikuhizi mtu kaoa ni Malaya kuliko bachelor so there is no difference.Kwa upande wa ndoa ni yupi mwenye nafasi kubwa ya kufanikisha?
ha ha ha ha ha itabidi tubaki single sasaKufanikisha sio tija wanaume wameshikiwa akili tu na wanawake sikuhizi mtu kaoa ni Malaya kuliko bachelor so there is no difference.
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha njoo uchukue....
Uko wazi na hakuna pazia..Fungua mlango...
Uko wazi na hakuna pazia..
ha ha ha hakutakuwa na upendeleo?Asante sana, usisahau kuziba mia ya yote ya wapiga chabo. Upokeaji wa medali ni tukio la kipekee na litashuhudiwa na sie wawili tuu...aahahahahaa.
ha ha ha hakutakuwa na upendeleo?
Ya mwanzo ni ipi ?Xana kiongoz sijui siku hizi unakula nn maana unaongea point xana
ha ha ha itabidi mashabiki wawepoHapana, VAR ipo faulo ikichezwa au unfair play VAR inatupa ihalisia kisha zoezi la kukabidhiwa medali linaendelea.
Wapi nimesema ninyenyekewe? I'm not expecting shit ila nyie ndio mnao expect shit. You expect to be married by us.Yani wewe ili uwe mwanaume rijali lazima unyenyekewe sijui ufanyiwe hivi mhhh. Hujui purpose yako hapa duniani. Don't expect anything from anyone expectation hurt.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sasa ndo umeongea ukweli big up sanaThamani ya mwanamke ni tabia zake katika huo uhusiano na probably kind of thinking.
Mwanamke akiwa mpuuz na anaendeshwa na tamaa ataendelea kuwa chombo cha starehe kwa kila mwanaume atakayekuwa nae katika mahusiano.
TIP: Mwanamke anatakiwa kuishi na mume kwa hekima na awe msaidizi kwa mwanaume wake. Usaidizi sio wa kutafuna hela tu bali wa kutoa mawazo chanya ya kuzalisha maendeleo zaidi. Ishu ya sex sio swala la kuelezea sana ila ni kitu kipo naturally, wahenga walishasema mficha uchi hazai 😂😂😂!!!