Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,397
- 40,288
Katika mahusiano, anayeumia zaidi kwa kutendwa ni mwanamke kwasababu anakuwa hana maamuzi aje aishi na nani kutokana na asili iliyopo ya kusubiri yeye kutongozwa. Kama atakuwa anatendwa mara kwa mara huku umri ukiwa unasogea anakuwa na maumivu katika nafsi yake; ndio maana mambo ya vibe10 n.k vinakuwepo ili kutuliza maumivu aliyonayo.
Cha kufanya ni kila mmoja kuakikisha uhusiano alionao unatija na kufikia mategemeo aliyokusudia, kuoa ama kuolewa. Kama una uhusiano unaozidi miezi sita na hakuna dalili au viashiria vya ndoa, zaidi ya kupigana mpini na kula bata; nakushauri uuvunje mapema kabla hujapotezewa muda.
Cha kufanya ni kila mmoja kuakikisha uhusiano alionao unatija na kufikia mategemeo aliyokusudia, kuoa ama kuolewa. Kama una uhusiano unaozidi miezi sita na hakuna dalili au viashiria vya ndoa, zaidi ya kupigana mpini na kula bata; nakushauri uuvunje mapema kabla hujapotezewa muda.