Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kwani Kassie ukishawahi kuona jogoo anakufa kwa utitiri?Ngoja Babu ODM Asprin aje nihakikishia kama kweli usemi wa maini hayazeeki ni maneno ya gahawa tuu....
Maana nnavoyapenda nikiambiwa kuwa nayo yanazeeka ntakondajeee....
Uzuri na utamu wa pumzi ya mzee haina majasho jasho....
Pumzi inakuwa kama intaka kupata, inastua kijoti halafu inanengua kama songi la kuinama, kisha pinda mugongo....
Bakulutu baby.
Kama bado basi mwambie huyo dogo, jogoo wa shamba hawiki mjini...
Asipokuelewa mwambie asipotakata mtoni atatakataje bafuni?