Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,563
- 3,708
Wakuu Salaam,
Katika kupata kwangu elimu ya dunia level mbalimbali za kusoma sijawai kuongoza katika somo la hisabu ata nikijitaidi vipi sijawai kuongoza kuwa kinara wa marks katika somo hili, lakini masomo mengine yalikuwa ni rahisi kwangu kuongoza kawaida.
Nilivyoona silielewi sana nikaamua kuachana nalo linaniumiza kichwa.
Nilipoenda chuo kusomea taaluma flani nikazikuta hesabu kama zote nikajuta kuliacha O-level yani nikajikuta narudia nyuma nilikokimbia lakini awamu hii sikufanya utani tena nilijua nikishindwa tena naangukia pua.
Wataalamu mahesabu hongereni sana ili somo yahitaji kipaji.
Katika kupata kwangu elimu ya dunia level mbalimbali za kusoma sijawai kuongoza katika somo la hisabu ata nikijitaidi vipi sijawai kuongoza kuwa kinara wa marks katika somo hili, lakini masomo mengine yalikuwa ni rahisi kwangu kuongoza kawaida.
Nilivyoona silielewi sana nikaamua kuachana nalo linaniumiza kichwa.
Nilipoenda chuo kusomea taaluma flani nikazikuta hesabu kama zote nikajuta kuliacha O-level yani nikajikuta narudia nyuma nilikokimbia lakini awamu hii sikufanya utani tena nilijua nikishindwa tena naangukia pua.
Wataalamu mahesabu hongereni sana ili somo yahitaji kipaji.