Tukio likifanyika kwa umakini mpana nakuambia huachi kitu si lazima kufanya uharifu uende wewe..
Mfano niandae kemikali sumu niitume kwako Kama zawadi nahakikisha sitii fingerprint zangu kemikalii siinunui natengeneza uhusika naweka sio wangu ili kukuchanganya naweka mtu wako wa karibu au mtu usie mfahamu Kama ndie mtumaji no any trace mzigo unashikwa kwa njia ya kutoweka fingerprint zangu na ili nichanganye zaidi naandika vitu vyenye maana ila havieleweki hata kidigo muandiko wa kuprinti sio wa mtu!!
Nahakikisha nawaza vyema process zote mpk hatima nini nitafanya hadi mzigo kukufikia na ili kuchanganya zaidi nahakikisha mzigo unashikwa na fingerprint nyingi ila sio ya kwangu hata punje

Nakuambia hivi watadaba wengine ila sio mimi wataloa ndevu mpk waseme hili tunamuachia shetani
Usifikiri haiwezekani ndugu.. mfano ni haohao wataalum wanafahamu mbinu walizonazo na wanatambua udhaifu wa hizo mbinu ndugu.