Katika intelijensia, sayansi haisemi uongo

Katika intelijensia, sayansi haisemi uongo

Tukio likifanyika kwa umakini mpana nakuambia huachi kitu si lazima kufanya uharifu uende wewe..
Mfano niandae kemikali sumu niitume kwako Kama zawadi nahakikisha sitii fingerprint zangu kemikalii siinunui natengeneza uhusika naweka sio wangu ili kukuchanganya naweka mtu wako wa karibu au mtu usie mfahamu Kama ndie mtumaji no any trace mzigo unashikwa kwa njia ya kutoweka fingerprint zangu na ili nichanganye zaidi naandika vitu vyenye maana ila havieleweki hata kidigo muandiko wa kuprinti sio wa mtu!!
Nahakikisha nawaza vyema process zote mpk hatima nini nitafanya hadi mzigo kukufikia na ili kuchanganya zaidi nahakikisha mzigo unashikwa na fingerprint nyingi ila sio ya kwangu hata punje
Nakuambia hivi watadaba wengine ila sio mimi wataloa ndevu mpk waseme hili tunamuachia shetani
Usifikiri haiwezekani ndugu.. mfano ni haohao wataalum wanafahamu mbinu walizonazo na wanatambua udhaifu wa hizo mbinu ndugu.
Mambo ya pcr

Polymerase chain reactions, lengths polymorphism

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ushamba wewe hivi ntashindwa kwenda sehemu ya kuprinti hapo nitapata na fingerprint za mwenye kuprinti halafu nahakikisha hakuna kamera na sio sehemu napotambulika ni kazi ndogo ila yenye umakini mkubwa isiyochukua dk kumi ataishika karatasi hakikisha huishiki wewe yeye ndo ataiweka kwenye bahasha wewe utashika bahasha ambayo tena utakuja ibadilisha!! Usije ukasema mi muhalifu
Aisee.....Sawa Mkuu,nilidhani tunaelimishana kumbe 'Mitusi' duh samahani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukio likifanyika kwa umakini mpana nakuambia huachi kitu si lazima kufanya uharifu uende wewe..
Mfano niandae kemikali sumu niitume kwako Kama zawadi nahakikisha sitii fingerprint zangu kemikalii siinunui natengeneza uhusika naweka sio wangu ili kukuchanganya naweka mtu wako wa karibu au mtu usie mfahamu Kama ndie mtumaji no any trace mzigo unashikwa kwa njia ya kutoweka fingerprint zangu na ili nichanganye zaidi naandika vitu vyenye maana ila havieleweki hata kidigo muandiko wa kuprinti sio wa mtu!!
Nahakikisha nawaza vyema process zote mpk hatima nini nitafanya hadi mzigo kukufikia na ili kuchanganya zaidi nahakikisha mzigo unashikwa na fingerprint nyingi ila sio ya kwangu hata punje😂
Nakuambia hivi watadaba wengine ila sio mimi wataloa ndevu mpk waseme hili tunamuachia shetani😂
Usifikiri haiwezekani ndugu.. mfano ni haohao wataalum wanafahamu mbinu walizonazo na wanatambua udhaifu wa hizo mbinu ndugu.
Katika kila hatua utakayopiha ktk ufanikishaji wako wa tukio/uhalifu wako ndio alama zenyewe hizo ambazo zitakuelezea wewe ni nani.

DB Cooper pekee ndio aliweza kukwepa huo msala, japo pia aina ya tukio lake pia lilikuwa ni hatari kwa maisha yake kupita uhatari wenyewe
 
Is
Mhalifu anapokuwa anafanya uhalifu anakuwa na woga, hapo ni lazima aache alama! Kama kuna mtu ana ushahidi wa matukio ya uhalifu yaliyofanywa bila wahalifu kukamatwa alete ushahidi wake
Isdal woman na ile ya sumorton man
 
Wale forensic science hapa ndio stanford bridge unacheza na DNA, fingerprint na makolokolo mengine hadi unanasa mbakaji, jizi, muuaji. Ila hapa interrogation, listening, interpretation, intuition skills lazima ziwe at maximum level.
Nitarudi baadae
 
ivi db cooper ndo yule FBI walioshindwa kumpata??
kama ndie makala yake naipata wapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Google,andika hilo jina lake zitakuja makala zaidi elfu ampaka za mtaalam THE BOLD kisha utapata full story za mtaalam huyo aliesumbua vichwa vya FBI kwa miaka daari mpaka kufikia hatua ya kufunga faili lake,na move kibao kuigiza tukio hilo,ni mmoja wa wahalifu wanaoeshimika duniani katika tasnia ya upelelezi.
 
Kutoacha alama ni ngumu.
Ni ngumu unaweza usiache finger print, footprint, damu. Lkn ukagundulika kwa style ya mauaji yalivyo fanyika(style yako ya kuua)
 
Back
Top Bottom