Katika hili, Marekani imeshamkamata Iran

Katika hili, Marekani imeshamkamata Iran

DIDAS TUMAINI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
242
Reaction score
679
Hapa ndio waarabu na jamaii kama hizo zinapofeli

Kundi la waandamanaji limetaka Kiongozi wa Juu, Ayatollah Khamenei pamoja na viongozi wengine waandamizi kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kukiri kuitungua Ndege ya Boeing 737-800, mali ya Shirika la Ndege la Ukraine (UIA) na kusababisha vifo vya watu 176.

Kwanza Marekani imeua kiongozi muhimu sana wa iran.Pili imepindisha kombora lililokiwa lije kupiga kambi zake likaenda kupiga ndege ya abiria ya Ukraine.

Ukitaka kuamini hili,baada ya ndege tu kupigwa washirika wa USA, yaani Uingereza walitoka na madai kuwa ndege hiyo haikupata tatizo la kiufundi badi ilidunguliwa na Iran.

Mwanzoni Iran walikana, mwishowe wakakubali,sasa jiulize Uingereza walijuaje kuwa Iran ndio walioidungua hiyo ndege, jibu ni kuwa wao na USA ndio waliopindisha kombora likaenda kupiga ndege ya Ukraine.

Ikumbukwe kuwa Ukraine ni Mshirika wa USA na Iran pia ni mshirika wa Russia,so hapo Marekani atatengeneza tena ugomvi wa Ukraine na Iran, Ukraine watakuja kudai kuwa ni kwanini Iran apige ndege yao na hapo USA watachochea mgogoro.

Sasa Raia wa Iran wanafanya maandamano kuituhumu serikali yao ni kwanini imedungua hiyo ndege. Kosa kubwa walilofanya serikali ya Iran ni kukubali madai ya Uingereza kuwa wao ndio waliodungua kimakosa.

Ni Bora wangenyamaza kimya, wakaendekea kukanusha. Sasa hapo USA atapata mwaya wa kuanzisha vikundi vya waasi kupinga serikali yao na kuanza kudhoofisha serikali ya Iran kama ilivyokuwa Syria.

Katika mgogoro huu, USA atakula tatu mzuka. Ameua jeneral wao muhimu, ameanzisha mgogoro kati ya raia na serikali na pia atachochea uhasama kati ya Iran na Ukraine.

Didas Tumaini
 
Pili imepindisha kombora lililokiwa lije kupiga kambi zake likaenda kupiga ndege ya abiria ya Ukraine.
Umeanza vizuri, but this statement is a rubbish conclusion. Labda nikukumbushe katika syllogism,
When the Major statement is wrong, whatever correct the Minor statements might be, the Conclusion will be wrong!
 
Umeanza vizuri, but this statement is a rubbish conclusion. Labda nikukumbushe,
When the Major statement is wrong, whatever the Minor statements correct might be, the Conclusion will be wrong!
Ukraine atamshambulia Iran halaf Somalia watakasirika sana, kwa hyo Marekan atakuwa kafanikiwa kuwagombanosha Tz na Kenya.
Yaan maisha ni simple sana unaamua n kip cha kuamin


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeanza vizuri, but this statement is a rubbish conclusion. Labda nikukumbushe,
When the Major statement is wrong, whatever the Minor statements correct might be, the Conclusion will be wrong!
Hopeless comment!! Hahahaha.
 
Pili imepindisha kombora lililokiwa lije kupiga kambi zake likaenda kupiga ndege ya abiria ya Ukraine.


Hapa umechemka mkuu
Hapa ndio waarabu na jamaii kama hizo zinapofeli
..........



Kundi la waandamanaji limetaka Kiongozi wa Juu, Ayatollah Khamenei pamoja na viongozi wengine waandamizi kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kukiri kuitungua Ndege ya Boeing 737-800, mali ya Shirika la Ndege la Ukraine (UIA) na kusababisha vifo vya watu 176
........................
Kwanza Marekani imeua kiongozi muhimu sana wa iran.
Pili imepindisha kombora lililokiwa lije kupiga kambi zake likaenda kupiga ndege ya abiria ya Ukraine.

Ukitaka kuamini hili,baada ya ndege tu kupigwa washirika wa USA,yaani Uingereza walitoka na madai kuwa ndege hiyo haikupata tatizo la kiufundi badi ilidunguliwa na Iran.

Mwanzoni Iran walikana,mwishowe wakakubali,sasa jiulize Uingereza walijuaje kuwa Iran ndio walioidungua hiyo ndege,jibu ni kuwa wao na USA ndio waliopindisha kombora likaenda kupiga ndege ya Ukraine.

Ikumbukwe kuwa Ukraine ni mshirika wa Russia na Iran pia ni mshirika wa Russia,so hapo Marekani atatengeneza tena ugomvi wa Ukraine na Iran, Ukraine watakuja kudai kuwa ni kwanini Iran apige ndege yao na hapo USA watachochea mgogoro.

Sasa Raia wa Iran wanafanya maandamano kuituhumu serikali yao ni kwanini imedungua hiyo ndege.Kosa kubwa walilofanya serikali ya Iran ni kukubali madai ya Uingereza kuwa wao ndio waliodungua kimakosa.

Ni Bora wangenyamaza kimya,wakaendekea kukanusha.Sasa hapo USA atapata mwaya wa kuanzisha vikundi vya waasi kupinga serikali yao na kuanza kudhoofisha serikali ya Iran kama ilivyokuwa siria.

Katika mgogoro huu,USA atakula Tatu mzuka.Ameua jeneral wao muhimu,ameanzisha mgogoro kati ya raia na serikali na pia atachochoa uhasama kati ya iran na Ukraine washirika wa hasimu wak mkubwa Russia.

Didas Tumaini
Halaf suala jengine nikwamba US Kama Angekua Na Kauwezo Chakuanzisha Vikundi Pandikizi Ndani Ya IRAN Kama Unavyosema Angelishafanya Toka Mwaka 1979 Kuliko Matisho Anayoyatoa Kwa ss

Jengine Pia IRAN Ulitaka Ipingane Na Ukweli Wakwamba Ilitungua Ndege Wakat Kuna Uchunguzi Na Uchungunguzi Kama Ungefanyika Ukweli Ungejulikana Serikali Ingeonekana Ina Mambo Mengi Zaidi Yakimsingi Na Kimuhimu Zaidi Inayodanganya RAIA wake nataifa kwaujumla Wake

Mwisho:Nikwamba Hakuna Serikali Ama Kitu Ambacho Hakipingwi Suala La Jamaa Kuandamana Ni Hakki Yao Hatakama Unaiunga Mkono Serikali Ya IRAN Suala La Kuitungua Ndege Ya Abiria Haikua Sahihi Kabisaaaa sidhanii kama kuna sababu yakuhalalisha tukio lakudungua ndege lilofanyika Pia Kunawatu ambao wanaunga mkono serikali iliyopo madarakani ila hawajapendezewa kabisa na hili tukio ikumbukwe yakwamba IRAN Washakubali kama wametungua ndege lakini kwa bahati mbaya
Lakini pia nikukumbushe serikali ya IRAN Inaungwa Mkono Zaidi Na RAIA Wake Kuliko Hao Wanaowapinga Na Ukitaka Kuliamini Hili Angalia Katika Mazishi Ya SOLEIMAN Ila Pia Kama Utataka Kuthibitisha Hili Jambo Ngojea Siku Ya IJUMAA Ifike Ndio Unaweza Ukaelewa Naongea Nini
WAIRAN Wanatofauti Sana Kimitazamo Ila Linapokuja Suala La Usalama Wataifa Lao wanaungana sana kwabaadhi ya Mambo


IRAN Imekua Tishio La Maslahi Ya Magharibi Kwamashariki Yakati Na Kusemea Yakwamba Huu Mgogoro Uwahusishe Na RUSSIA Itakua Wamagharibi Wanakosea Mahesabu Bora Wapambane Na IRAN kama IRAN Ila Wasiwaingize Wengine


MAONI YANGU TUU...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, with due respect; ungejaribu kukusanya taarifa kwanza kabla ya uchambuzi wako.

Anyways, maandamano haya ni ya kawaida kabisa, sema tu yanakuzwa. Kuna maandamano mengi tu huwa yanatokea.

Haya hayajayafikia hata yaliyotokea mwishoni mwa mwaka jana.
 
mkuu huo utaalamu wa kupindisha makombora sijui ka upo, Rejea vita vya Israel na vikundi vya pale Palestina na Hamasi hasa Hesbula, Hesbula waliweza kufurumisha zaidi ya makombora 1000 ila kutokana na mfumo wa kiulinzi walio nao israeli yaliweza kudondoka makombora machache sana katika ardhi yao, Turudi kwangu kwahiyo wangekuwa na utaalam wa kuyapindisha ama kuyarudisha yalikotoka inamaanisha Hesbula wangepata tabu kubwa ila kwakuwa mfumo wa ulinzi dhidi ya makombora ni kwakuyadungua ndo maana hayakuweza rudishwa .

Nadharia iliyopo kulingana na uelewa wangu ni kuwa inawezekana Iran waliona ndege katika anga lao wakati wakiwa tayari wanavurumisha makombora wakahisi itakuwa adui yao anataka kujibu mapigo kwahiyo wakaona wamshushe haraka kabla hajaleta madhara, hii ni nadhari dhidi ya ndege kuanguka
 
Marekani ni ma
Mkuu, with due respect; ungejaribu kukusanya taarifa kwanza kabla ya uchambuzi wako.

Anyways, maandamano haya ni ya kawaida kabisa, sema tu yanakuzwa. Kuna maandamano mengi tu huwa yanatokea.

Haya hayajayafikia hata yaliyotokea mwishoni mwa mwaka jana.
Marekani ni mabingwa wa strategies siwezi kushangaa waiache kambi yao ipigwe na mabomu niliwahi soma nyuma ya pazia kilichotokea Pearl Harbor nikabaki mdomo wazi yaani lile tukio lilikua full compromised intelligence community ya Marekani ilikua full acknowledged na tukio ila waliacha litokee Unajua kwa nini? .......hiyo ndo America baba wa fitna kiwango cha lami
 
Marekani ni ma

Marekani ni mabingwa wa strategies siwezi kushangaa waiache kambi yao ipigwe na mabomu niliwahi soma nyuma ya pazia kilichotokea Pearl Harbor nikabaki mdomo wazi yaani lile tukio lilikua full compromised intelligence community ya Marekani ilikua full acknowledged na tukio ila waliacha litokee Unajua kwa nini? .......hiyo ndo America baba wa fitna kiwango cha lami
Ndio, ni mabingwa lakini sio mara zote.

Wanatamani sana wamtoe Ayatollah tangu '79 lakini wameshindwa. Umeshawaza kwa nini?
 
Hopeless comment!! Hahahaha.
hapana yko sahihi maelezo imebeba key point na key ppint hapa ajali iliyosababishwa na kupinshwa kwa kombora la iran lililokuwa linakwenda kwa marekani. kupindishwa ndo shida kubwa labda kama unabisha onesha know how kwamba inawezekana au haiwezekani
 
Hapa ndio waarabu na jamaii kama hizo zinapofeli

Kundi la waandamanaji limetaka Kiongozi wa Juu, Ayatollah Khamenei pamoja na viongozi wengine waandamizi kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kukiri kuitungua Ndege ya Boeing 737-800, mali ya Shirika la Ndege la Ukraine (UIA) na kusababisha vifo vya watu 176.

Kwanza Marekani imeua kiongozi muhimu sana wa iran.Pili imepindisha kombora lililokiwa lije kupiga kambi zake likaenda kupiga ndege ya abiria ya Ukraine.

Ukitaka kuamini hili,baada ya ndege tu kupigwa washirika wa USA, yaani Uingereza walitoka na madai kuwa ndege hiyo haikupata tatizo la kiufundi badi ilidunguliwa na Iran.

Mwanzoni Iran walikana, mwishowe wakakubali,sasa jiulize Uingereza walijuaje kuwa Iran ndio walioidungua hiyo ndege, jibu ni kuwa wao na USA ndio waliopindisha kombora likaenda kupiga ndege ya Ukraine.

Ikumbukwe kuwa Ukraine ni Mshirika wa USA na Iran pia ni mshirika wa Russia,so hapo Marekani atatengeneza tena ugomvi wa Ukraine na Iran, Ukraine watakuja kudai kuwa ni kwanini Iran apige ndege yao na hapo USA watachochea mgogoro.

Sasa Raia wa Iran wanafanya maandamano kuituhumu serikali yao ni kwanini imedungua hiyo ndege. Kosa kubwa walilofanya serikali ya Iran ni kukubali madai ya Uingereza kuwa wao ndio waliodungua kimakosa.

Ni Bora wangenyamaza kimya, wakaendekea kukanusha. Sasa hapo USA atapata mwaya wa kuanzisha vikundi vya waasi kupinga serikali yao na kuanza kudhoofisha serikali ya Iran kama ilivyokuwa Syria.

Katika mgogoro huu, USA atakula tatu mzuka. Ameua jeneral wao muhimu, ameanzisha mgogoro kati ya raia na serikali na pia atachochea uhasama kati ya Iran na Ukraine.

Didas Tumaini
acha uwongo
 
Back
Top Bottom