chutex
Member
- Aug 5, 2011
- 54
- 11
Yes! Dokta alijibu vyema, swala la Zitto sio kipaumbele cha Chadema na haikuwa na haja ya Dokta Slaa kuandika barua sababu ni swala la kikatiba na LISSU kama M/sharia wa chama alielezea katiba inasemaje?
Kama chama kilitaka NEC, BUNGE na Zitto wajiongeze.. badala yake wakataka kuanzisha ligi, chama kikawapuuza, hatimaye Zitto aliyesema atakuwa wa mwisho, hajakuwa wa mwisho wala wa kwanza, alikuwepo Kabourou na alishika nyadhifa kubwa CHADEMA kuliko Zitto, ametoka na Chama hakijayumba kipo zaidi ya pale
NEC, BUNGE NA ZITTO wajiongeze kwa lipi? unafikiri sheria ni kujiongeza tuu?? inamaana tundu lisu alikuwa hajui sheria ya kumfuta mwanachama uwanachama inasema vipi?? WEWE NDO UNATAKIWA UJIONGEZE