Jamaa flani alipata demu msafiii.akaamua kumpia saundi.katika hali ya kumwaga mistari ghafla bunduki yake ikasmama..dah.jamaa ilibidi aende chemba na kufungua zipu na kutoa bunduki yake na kuiambia kwa hasira "haya katongoze wewe kwa tamaa zako!!!"
toa yako tuione ndo tuseme hii ni ya kawaida. au nyie ndo walewale
wataalamu wa kukosoa, lakini mkipewa nyie....matope si matope.
kwanza sisi tunatafuta za kawaida, hatuhitaji ambazo si za kawaida
kwani zinakuwa hazina ukweli.(reality)
toa yako tuione ndo tuseme hii ni ya kawaida. au nyie ndo walewale
wataalamu wa kukosoa, lakini mkipewa nyie....matope si matope.
kwanza sisi tunatafuta za kawaida, hatuhitaji ambazo si za kawaida
kwani zinakuwa hazina ukweli.(reality)