Vyerehani vinneJafo anasema Rais Samia ameongeza viwanda 18000 elfu kumi na nane! Je katika katika context ya Tanzania kiwanda ninini?
Kinatakiwa kiwe na ukubwa gani? Au uzalishaji wa extent ipi ili kiitwe kiwanda?
Hiki Ndicho Kiwanda Alichotuachia Mzilankende Mpaka Kesho Tunadunda Na Cherehani 4Vyerehani vinne