katika basi mama na mwana

felinda

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
351
136
katika basi mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto.mtoto akakataa,mama akamwambia ''nyonya kama hutaki nampa anko anyonye'' anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi na huyo mama. Mtoto akanyonya kidogo akaacha.Mama akamtishia tena kumpa anko.Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema ''mama uwe na msimamo.Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako,hebu kuwa mkweli!! unanipa ninyonye au nishuke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom