mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Kumbuka alivokuwa mjumbe wa katiba mpya msimamo wake na wa sasaMpeni nchi kabisa
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Kumbuka alivokuwa mjumbe wa katiba mpya msimamo wake na wa sasaMpeni nchi kabisa
Hii wizara ikiundwa, lazima apewe yeye!Wizara ya propaganda kitengo cha manunuzi ya wapinzani.
Na kazi yake ya sasa atapewa Makonda, na Mimi nimeota ivyoNimelala malaika wakanitokea na kuniambia kuwa ipo siku pole pole atateuliwa kuwa mbunge wa kuteuliwa ktk nafasi kumi na kisha kupewa uwaziri.
Kila la kheri ndugu pole pole
kinyonga, tena cha msumbijiKumbuka alivokuwa mjumbe wa katiba mpya msimamo wake na wa sasa
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app