FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Kusema kweli ukimtazama Humphrey Polepole utagundua ana hotuba nzuri na ni msikivu. Nilipata kumuona katika ziara aliyofanya Kigoma kwakweli aliwakosha sana Watanzania kwa kutatua kero zao hasa maji.
Kwa mbali alikuwa na mwendo wa kishujaa huku akiwa amevaa gambuti. Kwa maoni yangu ndugu huyu anafaa uwaziri, japo hata nafasi aliyonayo anaitendea haki.
Kwa mbali alikuwa na mwendo wa kishujaa huku akiwa amevaa gambuti. Kwa maoni yangu ndugu huyu anafaa uwaziri, japo hata nafasi aliyonayo anaitendea haki.