Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Leo katika umbeya wangu wa kisiasa nimepitia tovuti ya The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage kuangalia taarifa za vyama vya siasa nchini, miongoni mwa vituko ni huyu katibu wa DP anaitwa Mrs Georgia Mtikila(sijui mke,dada au shemeji?) Kuna kali zaidi chama cha Demokrasia Makini hakina mwenyekiti. naomba hayo yawe ni makosa ya wa tovuti hii ni sio ukweli wa mambo maana tutaendelea kuchapisha tshirt kila siku huku chama TAWALA kikiendelea kutawala.