Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Iramba Jose Alfayo amlipua Mwigulu Nchemba

Yusuph Jr

JF-Expert Member
Jan 10, 2014
217
49
Akizungumza katika mkutano wa hadhara jana uliofanyika Yombwe old kiomboi,katibu wa Chadema wilaya ya iramba bwana Jose Alfayo amesema,Mwigulu amefanya ziara jimboni iramba na kujikosha kwa wanairamba kwa kuwalipia michango ya maabara.

Akifafanua kauli yake katibu huyu wa chadema alitanabaisha kuwa mwezi june mwaka huu walimwandikia barua DC wa iramba wakimtaka asitishe uchangishasha wa kibabe wa michango ya maabara na chf,kwa kuwa hawakuwashirikisha wananchi kupanga viwango vya michango na hawakuwahi kuwasomea mapato na matumizi yaliyopita.Mwigulu aliungana na DC kwa kutoa gari yake ya matangazo izunguke wilaya yote kutisha watu na kuwasweka polisi wengine wakishitakiwa mahakamani.

Ajabu leo mwigulu anawalipia michango hiyo wakati ni yeye na DC walioishadidia na kuwatesa wananchi maskini.Katibu wa Chadema aliendelea kusema,mwigulu ni mnafiki,baada ya kuona zoezi lake la kuwanyonya wananchi kwa michango ya kibabe limeleta chuki kwa serikali ya ccm,na hivyo litawaweka katika wakati mgumu kwenye chaguzi.
 
Akizungumza katika mkutano wa hadhara jana uliofanyika Yombwe old kiomboi,katibu wa Chadema wilaya ya iramba bwana Jose Alfayo amesema,Mwigulu amefanya ziara jimboni iramba na kujikosha kwa wanairamba kwa kuwalipia michango ya maabara.Akifafanua kauli yake katibu huyu wa chadema alitanabaisha kuwa mwezi june mwaka huu walimwandikia barua DC wa iramba wakimtaka asitishe uchangishasha wa kibabe wa michango ya maabara na chf,kwa kuwa hawakuwashirikisha wananchi kupanga viwango vya michango na hawakuwahi kuwasomea mapato na matumizi yaliyopita.Mwigulu aliungana na DC kwa kutoa gari yake ya matangazo izunguke wilaya yote kutisha watu na kuwasweka polisi wengine wakishitakiwa mahakamani.Ajabu leo mwigulu anawalipia michango hiyo wakati ni yeye na DC walioishadidia na kuwatesa wananchi maskini.Katibu wa Chadema aliendelea kusema,mwigulu ni mnafiki,baada ya kuona zoezi lake la kuwanyonya wananchi kwa michango ya kibabe limeleta chuki kwa serikali ya ccm,na hivyo litawaweka katika wakati mgumu kwenye chaguzi.

mwigulu sio size yq huyo dogo aache kutafuta kick tupitia mwigulu siku hizi cdm ukitaka ujulikane wewe mseme vibaya mwigulu
 
Mwigulu sio saizi yako.WNanchi wa Iramba wamechangia asilimia 70 za Ujenzi wa Maabara na Zahanati.Mbunge wao amekwenda Kuongeza nguvu kwa kukamilisha asilimia 100 ili watoto wasome kwenye maabara za Kisasa.
Sio nyie Mnaokataza Watu kuchangia?.
 
Akizungumza katika mkutano wa hadhara jana uliofanyika Yombwe old kiomboi,katibu wa Chadema wilaya ya iramba bwana Jose Alfayo amesema,Mwigulu amefanya ziara jimboni iramba na kujikosha kwa wanairamba kwa kuwalipia michango ya maabara.Akifafanua kauli yake katibu huyu wa chadema alitanabaisha kuwa mwezi june mwaka huu walimwandikia barua DC wa iramba wakimtaka asitishe uchangishasha wa kibabe wa michango ya maabara na chf,kwa kuwa hawakuwashirikisha wananchi kupanga viwango vya michango na hawakuwahi kuwasomea mapato na matumizi yaliyopita. Mwigulu aliungana na DC kwa kutoa gari yake ya matangazo izunguke wilaya yote kutisha watu na kuwasweka polisi wengine wakishitakiwa mahakamani.Ajabu leo mwigulu anawalipia michango hiyo wakati ni yeye na DC walioishadidia na kuwatesa wananchi maskini.Katibu wa Chadema aliendelea kusema,mwigulu ni mnafiki,baada ya kuona zoezi lake la kuwanyonya wananchi kwa michango ya kibabe limeleta chuki kwa serikali ya ccm,na hivyo litawaweka katika wakati mgumu kwenye chaguzi.

Mheshimiwa sana katibu wa Chadema Iramba, usafi wa nyumba unaanza chumbani mwako ndipo unatoka nje. Samahani sana je unaweza kunikumbusha ni lini Chadema imesoma mapato na matumizi yake?
 
by Maboso;
Mheshimiwa sana katibu wa Chadema Iramba, usafi wa nyumba unaanza chumbani mwako ndipo unatoka nje. Samahani sana je unaweza kunikumbusha ni lini Chadema imesoma mapato na matumizi yake?



Maboso mapato na matumizi yalisomwa kwenye mkutano mkuu wa chadema wiki mbili zilizopita kwenye ITV~LIVE...

Sasa nyie Ugambani ni lini mlisomewa mapato na matumizi ya;
~wafadhili wenu
~viwanja vya mpira mnavyomiliki kimagumashi…
~vyumba vya biashara kuzunguka hivyo viwanja…
~fedha mnazowalazimisha wafanyabiashara kuchangia chama chenu kwa nguvu..
~vitega uchumi...
~malipo ya kadi ya uanachama n.k

Lini mlisomewaaaaaa....
 
Last edited by a moderator:
Mwigulu sio saizi yako.WNanchi wa Iramba wamechangia asilimia 70 za Ujenzi wa Maabara na Zahanati.Mbunge wao amekwenda Kuongeza nguvu kwa kukamilisha asilimia 100 ili watoto wasome kwenye maabara za Kisasa.
Sio nyie Mnaokataza Watu kuchangia?.

JE WAJUA: Bajeti ya 2014/2015 ni serikali ya ccm kupata shilingi trilioni 20(19.9) kutoka kwa wtz 45 directly au inderectly ili iwafanyie maendeleo. Tangu julai kufika kila mtz aliisha anza kuchangia. Itakapofika juni @ mtz atakuwa amechanga 20trl gawa kwa 45mil =800,000/ kwa vijiji vyetu vyenye wastani wa watu 1500, kila kijiji kimepangiwa kuchanga shilingi 1500 x 800,000 = 1.2bln.(mil 1200). Kama kijiji kimo kwenye kukusanya kiwango kama hicho, serikali mchakato wake ni nini? Ni milioni ngapi zinarudi kwa ajili ya kijiji? Kata zina wastaniwa vijiji 5, ni kiasi cha bilioni 6. Ni milioni ngapi zinarudi katika kila kata? Ni haki wana nchi kuchangia tena ujenzi wa shule yao kata. Maji, zahanati, polsi, mahakama, nk?
 
by Maboso;
Mheshimiwa sana katibu wa Chadema Iramba, usafi wa nyumba unaanza chumbani mwako ndipo unatoka nje. Samahani sana je unaweza kunikumbusha ni lini Chadema imesoma mapato na matumizi yake?



Maboso mapato na matumizi yalisomwa kwenye mkutano mkuu wa chadema wiki mbili zilizopita kwenye ITV~LIVE...

Sasa nyie Ugambani ni lini mlisomewa mapato na matumizi ya;
~wafadhili wenu
~viwanja vya mpira mnavyomiliki kimagumashi…
~vyumba vya biashara kuzunguka hivyo viwanja…
~fedha mnazowalazimisha wafanyabiashara kuchangia chama chenu kwa nguvu..
~vitega uchumi...
~malipo ya kadi ya uanachama n.k

Lini mlisomewaaaaaa....

Ugambani ndio wapi mkuu? Mimi sina wafadhili, sina viwanja vya mpira, sina vyumba vya biashara, sina mamlaka wa chama cha kuwalazimisha wafanyabiashara wachangie kwa nguvu, vitega uchumi ninavyo, sina malipo ya kadi ya uanachama. Miliki zangu zinakaguliwa kila mwaka, mapato na matumizi nayasoma. Haya niambie wewe unazungumzia vipi?
 
by Maboso;
Ugambani ndio wapi mkuu? Mimi sina wafadhili, sina viwanja vya mpira, sina vyumba vya biashara, sina mamlaka wa chama cha kuwalazimisha wafanyabiashara wachangie kwa nguvu, vitega uchumi ninavyo, sina malipo ya kadi ya uanachama. Miliki zangu zinakaguliwa kila mwaka, mapato na matumizi nayasoma. Haya niambie wewe unazungumzia vipi?


Mkuu Maboso Umeelewa ila kwa makusudi umeamua kusepa kwa kutumia mlango wa nyuma, ok.

mapato na matumizi ya chadema yalisomwa Luningani live wiki mbili zilizopita~hopefully umenielewa sasa?

sasa ni lini ccm waliwasomea mapato na matumizi ya;
~
~
~
~
Nimeyaorodhesha hapo juu kwenye koment yangu ya kwanza!
 
Last edited by a moderator:
Kidogo Mwigulu ameamka ameanza kuwa mtu sasa ingawaje ni bigwa wa Ugaidi pamoja na kutengeneza kero alafu anazunguka kuzimaliza mwenyewe ili apande chati
 
Mwigulu bana! yaani ametengeneza kero mwenyewe halafu anajidai kuitatua ili wananchi waone anawajali!janja ya nyani...

HUYU bwana ANPENDA SIFA ANAPENDA KUJISIFIA NA NDO SABABU ANA ID NYINGI SANA HUMU JF kuna wakati anaanzisha mjadala na kijijibu mwenyewe OGOPA SANA MTU ANAEPENDA SIFA ANAWEZA KUKUDHURU
 
mwigulu sio saizi yako.wnanchi wa iramba wamechangia asilimia 70 za ujenzi wa maabara na zahanati.mbunge wao amekwenda kuongeza nguvu kwa kukamilisha asilimia 100 ili watoto wasome kwenye maabara za kisasa.
Sio nyie mnaokataza watu kuchangia?.

hawezi kuwa saizi yake kwani mwigulu ni gaidi
 
JE WAJUA: Bajeti ya 2014/2015 ni serikali ya ccm kupata shilingi trilioni 20(19.9) kutoka kwa wtz 45 directly au inderectly ili iwafanyie maendeleo. Tangu julai kufika kila mtz aliisha anza kuchangia. Itakapofika juni @ mtz atakuwa amechanga 20trl gawa kwa 45mil =800,000/ kwa vijiji vyetu vyenye wastani wa watu 1500, kila kijiji kimepangiwa kuchanga shilingi 1500 x 800,000 = 1.2bln.(mil 1200). Kama kijiji kimo kwenye kukusanya kiwango kama hicho, serikali mchakato wake ni nini? Ni milioni ngapi zinarudi kwa ajili ya kijiji? Kata zina wastaniwa vijiji 5, ni kiasi cha bilioni 6. Ni milioni ngapi zinarudi katika kila kata? Ni haki wana nchi kuchangia tena ujenzi wa shule yao kata. Maji, zahanati, polsi, mahakama, nk?
Hawa Ghasia akiona hii atakimbia, anachangia bungeni eti kiongozi ajue kusoma na kuandika tu, sasa ukichua kusoma na kuandika tu utaweza kuchambua takwimu?
 
Ccm ni majanga kule mafia wamechangishwa walimu huku bajeti zilitengwa bungeni za kuwastarehesha akina mwigullu.
Maabara zinazotengenezwa ni aibu hata mwl nyerere hakuwa nazo lakini kiwango cha ufaulu kilikuwa juu.

Mwenge wa uhuru( wa ccm) ,umekuwa ukiwasumbua wafanyabiashara kuuchangia, huku watendaji wakihoji bajeti iliyotengwa ccm inasema bajeti ndogo je hiyo ndogo huishia wapi?
Mwigullu amekwiba benki sasa anaona atoe takrima2015 iko mlangoni,siasa za ugaidi hazijamsaidia mnyiramba wa kawaida.
Niliwaambia hapa kelele zote ilikuwa kupata uwaziri ili akae karibu na kibubu awe anachota tu.si ajabu ameongeza sifuri mbele
 
Back
Top Bottom