PreGE2025 Katibu wa CCM Sengerema awachana Chadema kuna mgogoro ndani ya chama hicho

PreGE2025 Katibu wa CCM Sengerema awachana Chadema kuna mgogoro ndani ya chama hicho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu amewachana wapinzani hususan Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kueleza kuwa kuna mgogoro ndani ya chama hicho.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ameyasema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Busisi Wilaya ya Sengerema ambapo alikwenda kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM.

 
CCM hivi wanafurahishwa au wanahuzunishwa na hiyo inayoitwa migogoro?

Kama kuna migogoro si ndio wafurahi CHADEMA inaelekea kufa (ingawa hii ni ngumu kutokea hasa kipindi hiki)?

Nini hasa kinawauma?
 
Back
Top Bottom