Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Nilisema ule wakati wa kuwa wao hawafi umepitwa na wakati ,wajue kuwa wanaongoza binadamu sio ng'ombe ,kwamba utapowavuta ndio hukohuko.
Hata kama wameuwana wenyewe kwa wenyewe ndio vizuri zaidi,ila wao sio wa mwanzo kwani pale bungeni wangapi wamepata vifo vya gafula,kuna kesi zinazopigiwa mfano "Kukolimbana" hii ni kitu gani ,kuna kesi ya Sokoine mpaka leo imefungika hakuna uwazi ,yaani kuna wengi tu ila sasa mambo yanatua mitaani huko ndiko atakakofungwa paka kengere ,maana usipoziba ufa utajenga ukuta ,miccm ikiambiwa nchi inaenda mrama wao wanakazana kujaza viroba na kuondosha hela nchini ,we wacha tu kuna waTz wananukia kupelekwa Hague ,mmemuona mwenzenu na uraisi wake kabwaga manyanga kwa hiari yeke kaelekea huko ,na nyinyi wekeni pamba masikioni dawa naamini ipo jikoni inachemka. Zibeni macho tu mkikodolea rasilimali za Taifa.
Hata kama wameuwana wenyewe kwa wenyewe ndio vizuri zaidi,ila wao sio wa mwanzo kwani pale bungeni wangapi wamepata vifo vya gafula,kuna kesi zinazopigiwa mfano "Kukolimbana" hii ni kitu gani ,kuna kesi ya Sokoine mpaka leo imefungika hakuna uwazi ,yaani kuna wengi tu ila sasa mambo yanatua mitaani huko ndiko atakakofungwa paka kengere ,maana usipoziba ufa utajenga ukuta ,miccm ikiambiwa nchi inaenda mrama wao wanakazana kujaza viroba na kuondosha hela nchini ,we wacha tu kuna waTz wananukia kupelekwa Hague ,mmemuona mwenzenu na uraisi wake kabwaga manyanga kwa hiari yeke kaelekea huko ,na nyinyi wekeni pamba masikioni dawa naamini ipo jikoni inachemka. Zibeni macho tu mkikodolea rasilimali za Taifa.