Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Kijana kakikacha chama chake bila shaka kafuata maokoto ya CCM
=================
Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA
Alon Kalomba amemuhakikishia Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Tarehe 29, Oktoba hakutakuwa na Maandamano.
Alon ametoa kauli hiyo kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni za Dkt. Samia Kaitaba Mjini Bukoba baada ya Kuhama CHADEMA na Kuhamia CCM na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Chama chichi Dr. Asha Rose MIgilo.
=================
Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA
Alon Kalomba amemuhakikishia Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Tarehe 29, Oktoba hakutakuwa na Maandamano.
Alon ametoa kauli hiyo kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni za Dkt. Samia Kaitaba Mjini Bukoba baada ya Kuhama CHADEMA na Kuhamia CCM na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Chama chichi Dr. Asha Rose MIgilo.