Zoezi la kumkata kata limesimamiwa na Masubo ambaye ni diwani....
Uzushi mtupu...green gurad hawakati watubmapanga
Hivi ni kwanini ccm wanajiona kana kwamba wao wana mikono minne na miguu minne na wengine hawana hata mmoja? Tutaendelea mpaka lini kuruhusu hawa wenye akili ndogo kutunyanyasa ndani ya nchi yetu ambayo wote tuna haki sawa? Je kwa kuendelea kupiga kelele tu kama waoga fulani ndio solution? Ina maana ccm wao ndio majogoo wa nchi hii na tuliobaki ni mitetea? Kwanini tusijibu mapigo?
ushahidi na siyo tukio la kwanza Igunga mlimua wakala wetu, Arumeru aliyekuwa mwenyekiti wa kata ya Usa River mlimchinja kama kuku na waliofanya tukio hilo wakakamatwa cha kushangaza aliwanikiwa kutoloka mbele ya polisi nane na kati ya hao watatu wakiwa na SMG...huyu kakatwa katwa na amewatambua baadhi akiwemo Diwani wa kata hiyo mhuni Masubo, juzi mmekodisha wahuni kwenda kumdhuru warioba...
Ndio mana kila siku tunasema wewe ni shoga.nilisoma shule moja na mama yako na tumecheza sana Baba na Mama hivyo ni heshimu mtoto wewe ni mtoto wangu..
ushahidi na siyo tukio la kwanza Igunga mlimua wakala wetu, Arumeru aliyekuwa mwenyekiti wa kata ya Usa River mlimchinja kama kuku na waliofanya tukio hilo wakakamatwa cha kushangaza aliwanikiwa kutoloka mbele ya polisi nane na kati ya hao watatu wakiwa na SMG...huyu kakatwa katwa na amewatambua baadhi akiwemo Diwani wa kata hiyo mhuni Masubo, juzi mmekodisha wahuni kwenda kumdhuru warioba...
1. Katibu wa chadema mkoa wa kinondoni henry kileo ndio aliyemmwagia tindikali mussa tesha, huko igunga
2. Chadema waliuwa watz arusha,morogoro, iringa na singida
3. Chadema kupitia red brigade walimteka, kumtesa kisha kumtupa msitu wa ununio mwenyekiti wao wa wilaya ya temeke bwana yona
4. Chadema kupitia mkurugenzi wake wa ulinzi na usalama wilfred lwakatare walipanga kumteka kisha kumtesa mwandishi wa habari na mhariri wa gzeti za mwananchi denis msaki
CCM wamebakiwa na polisi, green guard maana wamekataliwa na wananchi.....
Pole kamanda
1. Katibu wa chadema mkoa wa kinondoni henry kileo ndio aliyemmwagia tindikali mussa tesha, huko igunga
2. Chadema waliuwa watz arusha,morogoro, iringa na singida
3. Chadema kupitia red brigade walimteka, kumtesa kisha kumtupa msitu wa ununio mwenyekiti wao wa wilaya ya temeke bwana yona
4. Chadema kupitia mkurugenzi wake wa ulinzi na usalama wilfred lwakatare walipanga kumteka kisha kumtesa mwandishi wa habari na mhariri wa gzeti za mwananchi denis msaki