Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,230
Kila aliyehusika atalipa tuTunafuatilia taarifa mbaya kuhusu K/Mwenezi wa @ChademaTz, Jimbo la Malinyi, Morogoro, Ndg Lucas Lihambalimu aliyevamiwa nyumbani kwake, kupigwa risasi na kufariki hapohapo majira ya saa nane usiku. Eneo hilo la Bonde la Kilombero pia aliuawa Diwani Lwena kwa kukatwa mapanga.