MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Tanzania ( Taifa Stars ) ikifuzu Kombe la Dunia lijalo MINOCYCLINE naahidi Kujisaidia Haja Kubwa ( Kupupu ) kutoka hapa Kwetu Kisiwani Pemba ninapoishi hadi Chamwino Makao Makuu ya Nchi Mkoani Dodoma.
Yaani unahangaika kucheza AFCON na unafuzu kwa Ndondokela / Bahati Nasibu kutokana na bado kuwa na Kiwango duni ( cha chini ) halafu hata Aibu huna Unajiamini na Unawaaminisha Watanzania kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itafuzu Kombe la Dunia lijalo.
Kama kuna Wizara ambayo MINOCYCLINE nasema ina bahati mbaya ya kupata Katibu Mkuu wake wa hovyo hovyo ( incompetent ) basi ni hii ya Sanaa, Utamaduni na Michezo iliyo chini ya Katibu Mkuu wake Gerson Msigwa.
Yaani unahangaika kucheza AFCON na unafuzu kwa Ndondokela / Bahati Nasibu kutokana na bado kuwa na Kiwango duni ( cha chini ) halafu hata Aibu huna Unajiamini na Unawaaminisha Watanzania kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itafuzu Kombe la Dunia lijalo.
Kama kuna Wizara ambayo MINOCYCLINE nasema ina bahati mbaya ya kupata Katibu Mkuu wake wa hovyo hovyo ( incompetent ) basi ni hii ya Sanaa, Utamaduni na Michezo iliyo chini ya Katibu Mkuu wake Gerson Msigwa.