Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa Dr.Vincent Mashinji jana amekutana na Madiwani wa Jiji la Arusha Mjini.
Katika kikao hicho walikuwepo Katibu wa Kanda ya kaskazini na Mwenyekiti wa CHADEMA Arusha Mhe.Amani Golugwa, Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Kalist Kalisti Lazaro, Mwenyekiti wa wilaya Derick Magoma Jr na Katibu wa wilaya CHADEMA Arusha Mjini Steven Urassa.
Aidha kabla ya kikao hicho, Katibu Mkuu alipata fursa ya kumtembelea Mbunge wa jimbo la ARUSHA mjini mhe. Godbless Lema katika gereza la Kisongo.
Katika kikao hicho walikuwepo Katibu wa Kanda ya kaskazini na Mwenyekiti wa CHADEMA Arusha Mhe.Amani Golugwa, Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Kalist Kalisti Lazaro, Mwenyekiti wa wilaya Derick Magoma Jr na Katibu wa wilaya CHADEMA Arusha Mjini Steven Urassa.
Aidha kabla ya kikao hicho, Katibu Mkuu alipata fursa ya kumtembelea Mbunge wa jimbo la ARUSHA mjini mhe. Godbless Lema katika gereza la Kisongo.