Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Habar zilipatikana hv punde zinasema kuwa bwana David Jairo amesimamishwa kazi kufuatia tuhuma za kuchangisha mchango wa tsh. 50 ml. Kwa kila taasis ya wizara hyo ili kufanikisha kupitishwa kwa bajeti ya wizara hyo. Source: itv.