Katibu Mkuu Kiongozi ni cheo kilicho juu ya fikra za udini

Hizi fikra za kuwa waislamu hawana elimu ni mawazo ya kijinga. Mnataka kusema hakuna waislamu hata 9 waliokuwa na elimu na uwezo wa kuwa mawazi, au 9 wa kuwa manaaibu waziri? Au 9 kuwa wakuu wa mikoa nk? Au 9 wa kuwa makatibu wakuu, au 9 kuwa PS nk.

Msituleteye karaha na maudhi, tuwe wa kweli na tugombeane haki . Tanzania ni yetu wote na inatutosha sote, tuendelee kuishi kwa raha na mapenzi. Nchi ikichafuka inatuchafukia sote. We have to stand United and fight nepotism and religious biaseness.
 
Karine hii bado watu wanaendeshwa kwa mihemko ya udini,mbaya zaidi dine zenyewe ni za kizungu na kiarabuuu
 
Wakristo wa Tanzania wamezoeshwa vby sana na Nyerere, bado haiwaingii akilini kabisa kwamba hii nchi ni yetu sote, na kwamba waislam nao wana haki!roho mbaya zaidi ya hata shetani
Nimekuwa nikayatazama majina ya makatibu wakuu viongozi tangu tupate uhuru, sijaona jina la muislam. Lakini katika marais wanne walioiongoza nchi hii mpaka leo hii kuna waislam wawili. Mzee Mwinyi alimuamini Paul Rupia, akampatia cheo cha katibu mkuu kiongozi. Mzee Kikwete alimuamini Mzee Philemon Luhanjo na akampatia wadhifa huo wa CS.

Humu jamii forum watu hutokwa povu kila wanapotazama vyeo vya mashirika makubwa. Watu wanaandaa excel sheets zinazoonyesha wingi wa wakristo kulinganisha na waislam. Inajengwa hoja kwamba ipo aina fulani ya dhuluma dhidi ya wasomi waislam. Lakini miaka 20 ya urais wa Mwinyi na Kikwete, uliwategemea makatibu wakuu viongozi ambao ni wakristo. Mzee Mwinyi na Mzee Kikwete waliwaamini wakristo, wala hawakuongozwa na fikra za kidini, walitazama utendaji kazi badala ya kutazama dini zao.

Fikra za kidini ni fikra muflis, hazifai kabisa kuendekezwa, na mara nyingi huashiria uvivu wa mtu kufikiria mambo ya maana yenye tija maishani mwake. Baba yangu mzazi aliwahi kuniambia kwamba tarehe 8 desemba 1961 yaani siku moja kabla ya uhuru, nchi hii ilikabidhiwa kwa Mungu, waislam waliikabidhi nchi kwa Mungu kivyao, na wakristo wakaikabidhi kwa Mungu kivyao. Ulikuwa ni uamuzi uliotazama mbali sana, la sivyo Tanzania ingeshameguka vipande vipande kwa sababu ya fikra potofu za udini.

Watoto wasome kwa nguvu zao zote ili baadae CV zao ziweze kuwapatia ajira, wawe wanaswali Ijumaa au wanasali Jumapili, sio kigezo cha wao kuajiriwa. Njia za mkato maishani mara nyingi humjaza mtu hasira, kwani zinaweza kumpeleka mtu mahali ambapo hakutaka kwenda. Mungu ibariki Tanzania.
hivi naomba kufaham uwiano wa idadi ya waislamu na wakristo hapa TZ,
 
Walioanzisha mijadala hii ya udini na upendeleo ni nyinyi Wakristo,

Kwa kuwa shirika la NSSF lilikuwa linaongozwa na muislamu na pia ktk shirika hilo Kuna waislam wameajiriwa, nyie wagalatia mkawa mnashutumu na kulalama kuwa NSSF Kuna udini,

Jana Kuna mtu kaleta data za tanesco mbona hamsemi kuwa tanesco Kuna udini??

Nyie watu ni wa ajabu sana, mkiona waislam wameajiriwa sehem basi hiyo sehem itavikwa Joho la udini! Au mnadhani ni wagalatia tu ndo wenye haki ya kuajiriwa??

Enzi za JK waliteuliwa baadhi ya waislam wachache kushika nyadhifa fulani fulani, nyie mkatokwa povu mno na kusema jk ni mdini!

Mbona wakiteuliwa wagalatia wengi hamsemi ni udini?

Sijui mmekula maharage ya wapi nyie watu, mna chuki za dhahiri kabisa!
Ninapata shida kuelewa malengo ya baadhi ya Watanzania,Kikwete alipoingia tu madarakani aliitwa chaguo la Mungu na viongozi wa dini ya kikisto na siyo waislamu.Baadae kibao kiligeuka,walewale waliomwita chaguo la Mungu wakamwita "mdini" Naomba kama humu jf kuna mtu mwenye roho safi na mapenzi mema kwa taifa hili,basi anifafanulie kigezo kilichotumika kumpma JK na kumpa maksi za chaguo la mungu lakini baadae mwalimu yuleyule akabadilisha maksi na kuwa mdini.
 
Mwaya j,maaskofu ni wanafiki san sio wa kuwaamini hata kidogo,utawala uliopita mara nyingi walikuwa wanatoa matamko,utaona tawala hii kama watatoa tamko lolote,unajua kwa nini,jibu unalo mwenyewe.
Mara jk chaguo la mungu,marra mdini,hawa watu sio kabisa.
 
Ninapata shida kuelewa malengo ya baadhi ya Watanzania,Kikwete alipoingia tu madarakani aliitwa chaguo la Mungu na viongozi wa dini ya kikisto na siyo waislamu.Baadae kibao kiligeuka,walewale waliomwita chaguo la Mungu wakamwita "mdini" Naomba kama humu jf kuna mtu mwenye roho safi na mapenzi mema kwa taifa hili,basi anifafanulie kigezo kilichotumika kumpma JK na kumpa maksi za chaguo la mungu lakini baadae mwalimu yuleyule akabadilisha maksi na kuwa mdini.
Aliyesema ni chaguo la Mungu ni askofu Kilaini aliyejua kupitia kwake angefaidikaje maana alisoma nao seminari wanamjua.
Hukuona Kilaini alivyofaidika na dili la bilioni 1.6 la Escrow? Waswahili wa Pemba hujuana kwa vilemba ndugu yangu.
 
wagalatia hii nchi sio ya kwenu ni ya kwetu sote ...TANESCO utafikiri ni parokia mlivyojazana umeme hakuna kila siku ni habari za wizi na ufisadi tu
 
Miaka 20 ya rais muislam bado mkristo akaonekana anafaa. Maana yake hawa wanaouza wazo la udini ni watu waliofilisika vichwani. Ndugu yangu utoto wangu mimi ulikuwa ni enzi za Nyerere. Darasani tulikuwa mchanganyiko wa waislam na wakristo, na waislam niliosoma nao leo hii ni watu wa maana nchini mwetu. Pelekeni watoto zenu shuleni, punguzeni kuiamini sana elimu ya madrasa, katika dunia ya ushindani wa sayansi na teknolojia elimu ya madrasa wala haina mashiko. Ni wale waliofilisika vichwani ndio wenye kuweza kudhani kwamba hawapati kazi kwa sababu ya dini zao. Tunaishi katika mfumo wa kisekula, hivyo msipojichanganya imekula kwenu mazima.
Unayoyafikiriaa kua madrasa haitoi elimu unajidanganyaa

Sunday school na madrasa ni vitu tofauti

Kamwe usidharau kitu bila ya kufanyia utafiti

Usisukumwe na chukii zakoo unazolishwa jumapili
 
Povu mlianza kutoa nyinyi juu ya NSSF, sasa jana mtu amekuja na data juu ya hali ilivyo TANESCO mnajaribu kufukia ukweli! issue kuwa waislam hawajasoma ni issue ilopitwa na wakati sana sana, na ni uongo kuiendeleza, a lot of PhD, Masters na Bachelor graduateds wa kiislam wapo tu mtaani, i know hundreads of them!
I know millions of Christians holding degrees, masters and PhD tuko nao kitaa hapa
 
Povu mlianza kutoa nyinyi juu ya NSSF, sasa jana mtu amekuja na data juu ya hali ilivyo TANESCO mnajaribu kufukia ukweli! issue kuwa waislam hawajasoma ni issue ilopitwa na wakati sana sana, na ni uongo kuiendeleza, a lot of PhD, Masters na Bachelor graduateds wa kiislam wapo tu mtaani, i know hundreads of them!
Kwa hiyo sa hivi humkubali mzee wa HAPA KAZI TU?
 
Wakristo wa Tanzania wamezoeshwa vby sana na Nyerere, bado haiwaingii akilini kabisa kwamba hii nchi ni yetu sote, na kwamba waislam nao wana haki!roho mbaya zaidi ya hata shetani

Be specific.. wakristo dhehebu gani hao? Au unazungumzia wakatoliki? Hakuna Shahidi wa Jehova aliyewahi pata uteuzi wowote tz, n.k.
 
Na sio tanesco tu pepesa macho vizuri
kikwete alipomteua jaji mkuu Athman Chande weeeee
lakini Tanesco pale hakuna kanisa lakini NSSF kuna msikiti, halafu acheni fikra za kipumbavu na ujinga uliowajaa vichwani mwenu nyie mumekuwa watu wa kuwalaumu kila kukicha, somesheni watoto wenu wekeni maandalizi na siyo kila sikunawashindisha madrasa ,hebu nitajie phd holder zenu halafu tulingamishe.
 
Dah mi natokwa na machozi tu... ila hawa wakristo na roho mbaya zao tutakuja kuwanyosha tu... lets have plan fellow muslim tushikilie hivi vitu vitatu 3u. Uchamungu, umoja na uchumi basi kila kitu kipo humo ndani
 
Tuliambiwa CCM ni ile ile hivyo tusilalamike serikali yake itafanya Kazi vile vile....

Serikali ni watendaji.

Ukiwa mwizi ni mwizi tu, iwe ndani au nje ya serikali.

Hao vyama vya upinzani kwa miaka yote sijaona la maana kutoka kwao isipokuwa ACT wameonesha mfano wa kusomesha bure huko Kigoma.
 
Nimekuwa nikayatazama majina ya makatibu wakuu viongozi tangu tupate uhuru, sijaona jina la muislam. Lakini katika marais wanne walioiongoza nchi hii mpaka leo hii kuna waislam wawili. Mzee Mwinyi alimuamini Paul Rupia, akampatia cheo cha katibu mkuu kiongozi. Mzee Kikwete alimuamini Mzee Philemon Luhanjo na akampatia wadhifa huo wa CS.

Humu jamii forum watu hutokwa povu kila wanapotazama vyeo vya mashirika makubwa. Watu wanaandaa excel sheets zinazoonyesha wingi wa wakristo kulinganisha na waislam. Inajengwa hoja kwamba ipo aina fulani ya dhuluma dhidi ya wasomi waislam. Lakini miaka 20 ya urais wa Mwinyi na Kikwete, uliwategemea makatibu wakuu viongozi ambao ni wakristo. Mzee Mwinyi na Mzee Kikwete waliwaamini wakristo, wala hawakuongozwa na fikra za kidini, walitazama utendaji kazi badala ya kutazama dini zao.

Fikra za kidini ni fikra muflis, hazifai kabisa kuendekezwa, na mara nyingi huashiria uvivu wa mtu kufikiria mambo ya maana yenye tija maishani mwake. Baba yangu mzazi aliwahi kuniambia kwamba tarehe 8 desemba 1961 yaani siku moja kabla ya uhuru, nchi hii ilikabidhiwa kwa Mungu, waislam waliikabidhi nchi kwa Mungu kivyao, na wakristo wakaikabidhi kwa Mungu kivyao. Ulikuwa ni uamuzi uliotazama mbali sana, la sivyo Tanzania ingeshameguka vipande vipande kwa sababu ya fikra potofu za udini.

Watoto wasome kwa nguvu zao zote ili baadae CV zao ziweze kuwapatia ajira, wawe wanaswali Ijumaa au wanasali Jumapili, sio kigezo cha wao kuajiriwa. Njia za mkato maishani mara nyingi humjaza mtu hasira, kwani zinaweza kumpeleka mtu mahali ambapo hakutaka kwenda. Mungu ibariki Tanzania.
Mwanzoni sikukuelewa labda kutokana na ulivoanza!!ni dhahiri kua kunadini inahubiri kunyanyaswa ,kuonewa na kupunjwa kila wakati iwe mikutanoni,iwe kwenye ibada Zhao!!
Hawa watu wanataka vyeo pasipo kustahili,wanataka mafanikio bila kuyahangaikia,wanadai wanabaguliwa lakini wao ndio no one kwa ubaguzi !"nimekaa na kuishi na Hawa watu mashuleni na mitaani !!daahh Mungu awasamehe wanajiona wao ndio ndugu zake Mungu wengine cyo!!Hawasomi kazi kufuga ndevu halafu wanasema wanaonewa na ukiwapa wanashindwa
 
Povu mlianza kutoa nyinyi juu ya NSSF, sasa jana mtu amekuja na data juu ya hali ilivyo TANESCO mnajaribu kufukia ukweli! issue kuwa waislam hawajasoma ni issue ilopitwa na wakati sana sana, na ni uongo kuiendeleza, a lot of PhD, Masters na Bachelor graduateds wa kiislam wapo tu mtaani, i know hundreads of them!
Si mlisema Elimu ni ya makafiri Leo hii ndo mnaongozwa na hiyo hyo !!from Western
 
Back
Top Bottom