Katibu Mkuu CHADEMA kujulikana mapema January

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
53,658
120,289
CHADEMA kimesema mchakato wa kumpata Katibu Mkuu utaanza mwezi ujao. Mwenyekiti ndiye mwenye jukumu la kupendekeza jina na kulipeleka Baraza Kuu kupigiwa Kura, kisha kupitishwa. Nafasi ilibaki wazi baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu Dr.Slaa KUJIONDOA katika kipindi cha uchaguzi. Nafasi hiyo ilikuwa ikikaimiwa na Salum Mwalimu ambaye ni Naibu Katibu Mkuu.
 
Chadema inaongozwa kinyume cha katiba.nafasi ilitakiwa ijazwe ndani ya siku 90,hadi january zitakua takriban siku 150 toka nafasi ilipokua wazi.
Hicho ndio chama kilichotaka kwenda ikulu,hikina tofauti na TADEA,kila mtu ni kaimu
 
Chadema inaongozwa kinyume cha katiba.nafasi ilitakiwa ijazwe ndani ya siku 90,hadi january zitakua takriban siku 150 toka nafasi ilipokua wazi.
Hicho ndio chama kilichotaka kwenda ikulu,hikina tofauti na TADEA,kila mtu ni kaimu

mbona usemei uchaguzi wa zanzibar wenye athari kiuchumi mpaka kijamii,ambapo sheria inahitaji uchaguzi urudiwe ndani ya siku 90 au mshindi apatikane na leo ni siku ya 89.
Unazungumza la CDM ambalo halikuathiri kwa vyovyote
 
CHADEMA kimesema mchakato wa kumpata Katibu Mkuu utaanza mwezi ujao. Mwenyekiti ndiye mwenye jukumu la kupendekeza jina na kulipeleka Baraza Kuu kupigiwa Kura, kisha kupitishwa. Nafasi ilibaki wazi baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu Dr.Slaa KUJIONDOA katika kipindi cha uchaguzi. Nafasi hiyo ilikuwa ikikaimiwa na Salum Mwalimu ambaye ni Naibu Katibu Mkuu.
Wewe Bavicha acha kupoteza muda katibu mkuu ni Fredrick Sumaye..
 
mbona usemei uchaguzi wa zanzibar wenye athari kiuchumi mpaka kijamii,ambapo sheria inahitaji uchaguzi urudiwe ndani ya siku 90 au mshindi apatikane na leo ni siku ya 89.
Unazungumza la CDM ambalo halikuathiri kwa vyovyote
Kuanzia tarehe 28 october mpaka december
27 ni siku 89? Lowassa alikuwa sahihi kuleta wazungu kujumlisha kura zake
 
Chadema inaongozwa kinyume cha katiba.nafasi ilitakiwa ijazwe ndani ya siku 90,hadi january zitakua takriban siku 150 toka nafasi ilipokua wazi.
Hicho ndio chama kilichotaka kwenda ikulu,hikina tofauti na TADEA,kila mtu ni kaimu

Pale kuna kuna Chama tena
ni group la mbowe tu
 
Chadema inaongozwa kinyume cha katiba.nafasi ilitakiwa ijazwe ndani ya siku 90,hadi january zitakua takriban siku 150 toka nafasi ilipokua wazi.
Hicho ndio chama kilichotaka kwenda ikulu,hikina tofauti na TADEA,kila mtu ni kaimu

Nukuu kifungu cha katiba....
 
Acha uongo ndo kwanza miez miwil na siku kadhaa tu! Halaf pia ZIKIISHA HIZO 90 NDIPO MCHAKATO UNAPOANZA so hatukurupuk wala kufuata ushaur wako wa kishenz
Chadema inaongozwa kinyume cha katiba.nafasi ilitakiwa ijazwe ndani ya siku 90,hadi january zitakua takriban siku 150 toka nafasi ilipokua wazi.
Hicho ndio chama kilichotaka kwenda ikulu,hikina tofauti na TADEA,kila mtu ni kaimu
 
najua mgogoro utazuka tena chadema katika hilo..maana wanaopenda uongozi alafu hawana sifa watalalamika sana wasipoteuliwa wao
 
Katibu Mkuu Sugu

WEWE wacha dhihaka na ujinga, BEN SAANANE ANATOSHA, ni kijana anaipenda CDM kwa Dhati, uwezo anao na anatimiza vigezo vyote hata CHA ukanda. Nawashauri vijana wote wa CDM waunge mkono ushauri wangu na wamfanyie kampeni. It's time of young and dynamic generation
 
Back
Top Bottom