Katibu Mkuu CHADEMA kujulikana mapema January

Katibu Mkuu CHADEMA kujulikana mapema January

WEWE wacha dhihaka na ujinga, BEN SAANANE ANATOSHA, ni kijana anaipenda CDM kwa Dhati, uwezo anao na anatimiza vigezo vyote hata CHA ukanda. Nawashauri vijana wote wa CDM waunge mkono ushauri wangu na wamfanyie kampeni. It's time of young and dynamic generation

Ben Saanane huyu anaepostigi mavi humu? Kazi kweli kweli, kampigieni magoti Slaa, naona hamna watu kama mapendekezo ndo haya!
 
Last edited by a moderator:
Najua CHADEMA sio wajinga kiasi cha kushindwa kumpata katibu mkuu bora zaidi.
Binafsi nilimkubali sana Dr Slaa lakini hakuna point of U return.
Natamani asitoke miongoni mwa hawa watu wanaotajwatajwa.
Awe somebody able and smartest.
 
Najua CHADEMA sio wajinga kiasi cha kushindwa kumpata katibu mkuu bora zaidi.
Binafsi nilimkubali sana Dr Slaa lakini hakuna point of U return.
Natamani asitoke miongoni mwa hawa watu wanaotajwatajwa.
Awe somebody able and smartest.
Ili upinzani ukue na chadema ikue, mnahitaji mwenyekiti mpya na kijana tena mwenye maono makali, ukatibu mpeni J. Mnyika. Mkiendelea na Mbowe, mtaendelea na ule wimbo wa 'TUNAIBIWA' kila kukicha!
 
Back
Top Bottom