Tetesi: Katibu Mkuu CCM ni Ally Mufuruki

Angalau ungemtaja jamaa yetu /poti/ wa butiama ndg makongoro kidooogo ningeweza kukuelewa sasa huyo sijui nani eti..?
 
Huyu alieua ATCL na wazungu wa saa unakichaa kweli

ATCL hata angepewa nani isingeimarika. Shrika lilikuwa limeshakufa
Ali Mufuruki siyo mwanasiasa ni mfanyabiashara na msomi. Is he a right candidate kwa kazi kama ya Ukatibu Mkuu wa CCM ambayo inahitaji mtu vocal aliye na muda mwigni wa kuzungumza na media
 
Huyo wanaetaka kumkabidhi uenyekiti ni mNec?
Ndio ,kwa mujbu wa katiba yetu,Rais wa muungano,Rais wa zanzibar,makumu wa rais muungano,makamu wa pili wa rrais,waziri mkuu,maspika bunge na uwakilishi wanaingia nec na cc moja kwa moja kwa nafasi zao,ndio maana tunataka tumkabidhi magufuli chama afyeke kichaka cha mafisadi waliojificha chamani
 
Katibu Mkuu wa Magamba lazima nae awe Dr.....kutoka Nshomire? Au Kutoka Kanda ire ire Maarum kwa miaka hii 10 ni zamu yawooo!!
 
1468057714401.jpg
 
Zikiwa zimebaki siku 13 kufikia mkutano Mkuu wa CCM, dalili njema zinaonekana kwa Ally Mufuruki kuwa katibu Mkuu wa chama hicho akichukua nafasi ya Kanali Kinana..

Kuna uwezekana mkubwa Ally Mufuruki akawa katibu mkuu. Ally anaaminiwa kuwa atasaidia kukisuka chama hasa katika suala zima la matumizi. Kwa upande mwingine Kinana naye anapewa nafasi kubwa ya kuendelea ingawa yeye mwenyewe amesikika mara nyingi akiomba kupumnzika...

NB: Mkutano wa 23.7.2016 utakuwa salama sana, na wanaojaribu kukivuruga hawatabaki salama!


Ally aache biashara aingie kwenye siasa za majitaka zisizo na mwelekeo? Labda huyo sio Allt tunaemjua ni Ally Mfuruki fake!
 
Zikiwa zimebaki siku 13 kufikia mkutano Mkuu wa CCM, dalili njema zinaonekana kwa Ally Mufuruki kuwa katibu Mkuu wa chama hicho akichukua nafasi ya Kanali Kinana..

Kuna uwezekana mkubwa Ally Mufuruki akawa katibu mkuu. Ally anaaminiwa kuwa atasaidia kukisuka chama hasa katika suala zima la matumizi. Kwa upande mwingine Kinana naye anapewa nafasi kubwa ya kuendelea ingawa yeye mwenyewe amesikika mara nyingi akiomba kupumnzika...

NB: Mkutano wa 23.7.2016 utakuwa salama sana, na wanaojaribu kukivuruga hawatabaki salama!
CCM ijayo si ya matajiri tena ni ya makabwela.
 
kumbe nyie hamsomi alama za nyakati labda aitwe alama mafuruki lakini kwa jina hilo na hawa wabaguzi tulio nao atasubiri sana kama yule wa nnnsssffff. Tuna mtihani zaidi ya unavyo dhani
Sawa mkuu, ila sitaki kufika huko unakotaka kunipeleka
 
Huyo mufuruki aliyeshindwa dar es salaam gymkhana club akatolewa mkuku leo wampe "hii kitu"

what's wrong with u????? acha aiue na ccm. ... yawezekana ndo mkono wa Mungu uo wa kuirestisha in peace huo
 
Back
Top Bottom