Tetesi: Katibu Mkuu CCM ni Ally Mufuruki

Pagan Amum

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
1,932
4,395
Zikiwa zimebaki siku 13 kufikia mkutano Mkuu wa CCM, dalili njema zinaonekana kwa Ally Mufuruki kuwa katibu Mkuu wa chama hicho akichukua nafasi ya Kanali Kinana..

Kuna uwezekana mkubwa Ally Mufuruki akawa katibu mkuu. Ally anaaminiwa kuwa atasaidia kukisuka chama hasa katika suala zima la matumizi. Kwa upande mwingine Kinana naye anapewa nafasi kubwa ya kuendelea ingawa yeye mwenyewe amesikika mara nyingi akiomba kupumnzika...

NB: Mkutano wa 23.7.2016 utakuwa salama sana, na wanaojaribu kukivuruga hawatabaki salama!
 
Jogi non gymkanaa kunamada iliwekwa humuu.nilisomaa sonaga hamu nae NA wenzake

Kipindi SAA IPO walikodisha ndege baadae zikarudishwa mbovu

Baadae ukaonekana kuna ndege zinakuja toka Canada ...kilichofanyika wakiwakwenye maandalizi kuna secret akajisahau ile mikataba wajanja wakavuta

walipovuta kuangalia reg no ndege zile zile zimepelekwa Canada zinalertwa NA ranging nyingine kabisa loh

Ilipozuka jamaa alifukuza watu kibaao Mpwa kibaaaooo akiwa anawahisi ukisoma ile utaogopa kuufungua HII thread

NA zile ndege azikuja tens baada ya kulipuliwa
 
Wakati nasoma zile thread moja ya walioumia enzi zake ni mainjinia kadhaa walifukuzwa wakaenda mahakamani wakashinda kesi Wakaamua kukri miso ATCL wakaombaa wamalizane nae nje, angalia gharama kibao walizitoa kwa maamuzi ya mtu mmoja jamaa wamelipwa wakachapalapa
 
Hakuna mkutano wowote tare 23,mtukufu raisi kashapiga marufuku mikutano ya kisiasa na mikusanyiko inayohusiana na siasa mpaka 2020.

Kwahiyo mwambie uyo Ally asubili mpaka mtukufu raisi atakapotengua kauli yake.
 
Mkutano ungefana kama wangefata katiba Yao.inayotaka mwenyekiti achaguliwe na mkutano mkuu.na watoe nafasi ya wanachama kuomba
 
Zikiwa zimebaki siku 13 kufikia mkutano Mkuu wa CCM, dalili njema zinaonekana kwa Ally Mufuruki kuwa katibu Mkuu wa chama hicho akichukua nafasi ya Kanali Kinana..

Kuna uwezekana mkubwa Ally Mufuruki akawa katibu mkuu. Ally anaaminiwa kuwa atasaidia kukisuka chama hasa katika suala zima la matumizi. Kwa upande mwingine Kinana naye anapewa nafasi kubwa ya kuendelea ingawa yeye mwenyewe amesikika mara nyingi akiomba kupumnzika...

NB: Mkutano wa 23.7.2016 utakuwa salama sana, na wanaojaribu kukivuruga hawatabaki salama!

Jinga kubwa
 
Zikiwa zimebaki siku 13 kufikia mkutano Mkuu wa CCM, dalili njema zinaonekana kwa Ally Mufuruki kuwa katibu Mkuu wa chama hicho akichukua nafasi ya Kanali Kinana..

Kuna uwezekana mkubwa Ally Mufuruki akawa katibu mkuu. Ally anaaminiwa kuwa atasaidia kukisuka chama hasa katika suala zima la matumizi. Kwa upande mwingine Kinana naye anapewa nafasi kubwa ya kuendelea ingawa yeye mwenyewe amesikika mara nyingi akiomba kupumnzika...

NB: Mkutano wa 23.7.2016 utakuwa salama sana, na wanaojaribu kukivuruga hawatabaki salama!
Katiba ya ccm inasema katibu mkuu atachaguliwa miongoni mwa wajumbe wa nec,hivi Ally ni m Nec?
 
Hakuna mkutano wowote tare 23,mtukufu raisi kashapiga marufuku mikutano ya kisiasa na mikusanyiko inayohusiana na siasa mpaka 2020.

Kwahiyo mwambie uyo Ally asubili mpaka mtukufu raisi atakapotengua kauli yake.
Kwa hili mkuu alikulupuka
 
Back
Top Bottom