WAKUU
Kwenye mkutano uliofanyika mjini kibaha chini ya Mwkt wa BAVICHa John Heche akiambatana na Sugu (mb) na Msigwa (mb)
Katibu CCM kata ya maili moja Ndg Mathius (Picha) aljiunga na Chadema ,
karibu nyumbani kamanda
at last MTM kasikilizwa maana hamjasema kigogo wa ccm