Katibu CCM kata ya maili moja kibaha ajiunga na CHADEMA

USTAADHI

JF-Expert Member
May 10, 2011
1,516
136
WAKUU
Kwenye mkutano uliofanyika mjini kibaha chini ya Mwkt wa BAVICHa John Heche akiambatana na Sugu (mb) na Msigwa (mb)
Katibu CCM kata ya maili moja Ndg Mathius (Picha) aljiunga na Chadema ,
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
WAKUU
Kwenye mkutano uliofanyika mjini kibaha chini ya Mwkt wa BAVICHa John Heche akiambatana na Sugu (mb) na Msigwa (mb)
Katibu CCM kata ya maili moja Ndg Mathius (Picha) aljiunga na Chadema ,


Hawataishia kusema hakuwa mwanachama, kwani alishatimuliwa!
Subiri uone.
 
hana lolote huyo namfaham sana,ni tapeli tapeli ivi.anaweza akawa shibuda mwngne huyo.
 
Back
Top Bottom