October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 93
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kimepata pigo kwa kufiwa na Katibu wake wa Wilaya ya Babati, Bi. Tuli Mwangamba anayeaminika alifanikisha
kampeni za ubunge wa jimbo la Babati Mjini kwa kura za kishindo.
Katibu wa CCM Mkoa wa Manyara, Bi. Avelin Mushi alisema kuwa Bi. Mwang'amba aliyehamishiwa wilaya ni humo kikazi mwaka huu akitoka wilaya ya Mbeya Mjini, alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo siku nyingi, uliosababisha kifo chake Jumapili wakati akipatiwa matibabu na mazishi yake yalitarajiwa kufanyika jana.
Read More>>>here
kampeni za ubunge wa jimbo la Babati Mjini kwa kura za kishindo.
Katibu wa CCM Mkoa wa Manyara, Bi. Avelin Mushi alisema kuwa Bi. Mwang'amba aliyehamishiwa wilaya ni humo kikazi mwaka huu akitoka wilaya ya Mbeya Mjini, alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo siku nyingi, uliosababisha kifo chake Jumapili wakati akipatiwa matibabu na mazishi yake yalitarajiwa kufanyika jana.
Read More>>>here