N nanga mstafu JF-Expert Member Aug 12, 2016 381 648 Dec 16, 2016 #1 Hivi kuna haja gani kesi ya MTU anapopelekwa mahakamani kuandikwa kwa kingereza wakati lugha yetu ni kiswahili na anayehukumiwa ni mswahili?
Hivi kuna haja gani kesi ya MTU anapopelekwa mahakamani kuandikwa kwa kingereza wakati lugha yetu ni kiswahili na anayehukumiwa ni mswahili?
K Kenge wa dondo JF-Expert Member Nov 2, 2016 263 169 Dec 16, 2016 #2 Usipo kuwa makini inakula kwako!