siku za hivi karibun tanzania imekuwa ikizizima kwa madai ya katiba mpya, lakini kitu kinacho nipa wasiwasi ni kwamba je tayari tumeshapendekeza vipengele ambavyo vinatakiwa kufanyiwa mabadiliko?
siku za hivi karibun tanzania imekuwa ikizizima kwa madai ya katiba mpya, lakini kitu kinacho nipa wasiwasi ni kwamba je tayari tumeshapendekeza vipengele ambavyo vinatakiwa kufanyiwa mabadiliko?
Nadhani wanaojibu swali la muhusika ndo wanakurupuka, tatizo lake sio madai ya katiba mpya, ni kwamba je, wameainisha kinagaubaga ni vipengele gani vya katiba vinahitaji mabadiliko?