The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Kwa machozi na damu nchi yetu inahitaji muelekeo mpya. Mwelekeo wa kuwaandaa watu wetu na mabadiriko ya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni. Katika ndiyo mwarobaini.
Katiba itakayomtambua na kumthamini kila raia, itakayotupa haki ya kuwawajibisha viongozi, itakayoheshimu utu wa raia wote.
Wanasiasa hawapaswi kutupangia lini na wapi tunapaswa kupatiwa katiba.
Katiba itakayomtambua na kumthamini kila raia, itakayotupa haki ya kuwawajibisha viongozi, itakayoheshimu utu wa raia wote.
Wanasiasa hawapaswi kutupangia lini na wapi tunapaswa kupatiwa katiba.